Uchaguzi 2020 Membe: Naufahamu uwezo wa Lissu, nitahakikisha anapata kazi kwenye serikali yangu

Uchaguzi 2020 Membe: Naufahamu uwezo wa Lissu, nitahakikisha anapata kazi kwenye serikali yangu

Hivi huyu mzee anakulaga weed?

Yaani hata mimi namshangaa, kama sio weed then yuko in denial..yaani anajiona atakua Rais...eti siku nyingine katilia yuko kimya sababu anapanga mawaziri wa serikali yake, hapo ndipo nikajua huyu baba mtambo ... hahahahahahaahhaahah
 
Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?

Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.

Wakuu yapi maoni yenu?
Mzee wa game!! Ze comedy!!
 
Alivyokaribishwa tu akawashurutisha waingize kale ka kipengele ambako ndo jamaa zake wamemwandikia msajili...poor Membe..

Akili zake na za CCM zipo sawa...walitegemea atakuwa mgombea wa upinzani wafanye ujinga ule ule kama
wa Lowassa..,

Kukuuuuu.....
 
CHADEMA walimjua Membe mapema sana ndio maana walimkataa alipotaka kujiunga nao..

Serikali ya CCM siku zote imekuwa ikitumia mbinu zilezile kila Uchaguzi ufanyikapo..

Ndio maana mbinu zao za wizi wa KURA ni zilezile toka 1995 hadi Leo na iwapo wataweza kuforce this time kujitangazia ushindi na tukakubali basi hali ya Mtanzania itakuwa mbaya kuliko Ubaya wenyewe..

Ni wakti wa upinzani tujifunze kwa CCM... Tufuate nyayo!
Malalamiko ya kila siku tunaibiwa sisi, tunawekewa mapandikizi sijui nini na upuuzi wa maneno mengi yanakera kwa watu wenye akili timamu.
 
Bora mboga mboga fc walivyomfukuza huyu mtu..yaani hajielewi hata kidogo maana kama comedian hivi tena sampuli ya kina mr bean.

BM Tafadhali usitake kutugawia kura kwenye huu uchaguzi
 
DAKIKA ya 87 subirini Kachero Jasusi abutue Nje
 
Ni wakti wa upinzani tujifunze kwa CCM... Tufuate nyayo!
Malalamiko ya kila siku tunaibiwa sisi, tunawekewa mapandikizi sijui nini na upuuzi wa maneno mengi yanakera kwa watu wenye akili timamu.

Wewe una akili timamu na wewe?
 
Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?

Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.

Wakuu yapi maoni yenu?
Huyo ameshakuwa chizi jameni.kama mke wake yupo au ndugu zake wakaribu wasikae kimya au kufumbia macho.waanze kuangaika mapema.Hili sasa ni tatizo kubwa.Sikipendi hiki cheo cha urais.Kitaleta maafa miongoni mwa watu.
 
Usiku wa leo nimeota kuwa hapa kwetu yatatokea Kama yale yaliyotokea DRC, yaani was halisi wanapambana na hatimaye kushinda uchaguzi, mazungumzo yanafanyika na hatimaye anatangazwa mpinzani dhaifu na anakabidhiwa nchi [emoji30][emoji30][emoji30][emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Mavii hiyo ndoto ulivimbiwa tu ugali maharagwe basi nawewe nakuambia huwezi kuota ndoto ya maana kama sio kukimbizwa ma ng'ombe au nyoka

Sent from my SM-A910F using JamiiForums mobile app
 
Yaani hata mimi namshangaa, kama sio weed then yuko in denial..yaani anajiona atakua Rais...eti siku nyingine katilia yuko kimya sababu anapanga mawaziri wa serikali yake, hapo ndipo nikajua huyu baba mtambo ... hahahahahahaahhaahah
Dah!!!!,Naona anakoelekea ni kubaya sana,anahitaji matibabu tusije tukampoteza.
 
Anatakuwa na changamoto ya akili.... Amekuwa Akiongea vitu bila thinking kabisa...
 
Back
Top Bottom