Uchaguzi 2020 Membe ni msafi sana, Lissu ana makandokando. Upinzani twende na Membe 2020

Mbona Kama unatulazimisha tumpe membe nafas wkt bado ni mwana ccm?...hatumtaki membe Kama ambavyo ninyi hamumtaki membe...usitupangie bhana
 
Wapinzani hapo ndipo mnapo fail nd hamjiamini, hamna mnachokisimamia, tamaa zimewajaa, lissu nusura atokwe roho na zile risasi lakini mnataka kumueka pembeni kisa mmemuona membe kama fursa, yale yale ya lowasa
 
Hamkukoma kwa Lowasa. Sasa mnamtaka Membe. Mnajisahaulisha kuwa huyo ni Jasusi mbobevu. Siri zenu zitakuwa salama kiasi gani akiwa huko kwenu? Au hamjui kuwa kiapo cha usalama Wa Taifa ni cha maisha. Endeleeni naye. Ila mtakuja kujuta..
 
Wewe sio mpinzani, funga bakuli lako! Tuache tujadili yanayotuhusu
Naomba ujivue hiyo ngozi fake ya kondoo uliyojivika plz.

Wewe siyo Mpinzani Bali Ni mpiga mapambio maarufu Sana kutoka pale Lumumba so toa unafiki wako hapa.
 
Wapinzani mda utaongea! Membe ndio mgombea wenu maana nyie huwa ni wa kuchaguliwa mgombea toka CCM
 
Hapana, lengo ni kufika ikulu na tunahitaj mtu ambae atakuja na mtaji wa watu wa kutosha na mwenye ushawishi mkubwa. Hivyo mtu pekee wa kutupelema huko ni membe. Lissu bado sana
Membe mtaji wa watu ameupata lini?
 
~ Hakuna mpinzani atakaye lala kitanda cha ikulu....na kula misosi ya taifa iwe dar iwe Dom mpaka sisiem waamue kuwapa ikulu kwa mkono wa kushoto kishingo usawa.
 
Membe atagombea nyumbani kwako.
 
Ukitaka,sifia mtu basi usimkandie mtu.
Tundu lissu watu wanampenda ,membe nao hivyo hivyo wewe sema tu hivi vote for membe.
 
~ Hakuna mpinzani atakaye lala kitanda cha ikulu....na kula misosi ya taifa iwe dar iwe Dom mpaka sisiem waamue kuwapa ikulu kwa mkono wa kushoto kishingo usawa.
I love so much nasikujui waambie wachambe wachambike hawatawahi kuiona ikulu ni ccm tu ndio wanapasishiana mpira nasiku sio nyingi watanipa mimi .
 
Kusema tuna rais wa ajabu haijapata kutokea ni tatizo?
 

Nimekusoma mpaka mwisho, sijaona unaongelea USAFI WA MWILI wa watu hawa wawili ama USAFI WA KIMAADILI...

Nimeona tu unaongelea huyu nk MROPOKAJI na yule siyo mropokaji; huyu MSIKIVU na huyu siyo msikivu

Huu ndiyo USAFI unaowalinganisha hawa watu wawili??

Really? Really?
 

Membe ni pandikizi haturudii kosa,ye apambane akamn'goe stone
 

BIG NO. Kawaambie hivyo mabeberu wa kijani waliokutuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…