mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mzee membe hata hamu hanaa[emoji16][emoji16][emoji16].
Watu watu makatili
Watu watu makatili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba.Na juzi katweet kuwa nkurunzinza alidumisha demokrasia Burundi.
Mkuu Ukimaliza kuota nijulishe,au Tanzania kuna CCM mbili ?kumbe bado hujajua kuwa oktoba membe ndo anawania urais kwa tiket ya CCM
Mr.the man is out of mind,get to know from now on.Sijajuwa matamko ya Membe yanamaanisha nini mpaka sasa
Membe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tuMembe anajua hawezi kupata hata kura milion moja mbele ya Jpm
Labda mtindo waliotumia kwa mzee wa Iringa wautumie tena. Jamaa alivyo na hamu na nafasi kwake in bora hata kumkosa mama JMembe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tu
Membe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tu
Magu hata asipopiga kampeni ushindi ni 98% Watanzania wanamkubali sana
Wasimkubali atumie lile kundi la watu wasiojulikana kuwafanyia kitu mbaya.
Ni watu gani Mkuu
Tatizo ni wapinzani sio tume,tume ipo kikatiba na ipo miaka yote.na wapinzani wanashiriki chaguzi zote kupitia tume hii hii!! Kusema kuwa sio tume huru Ni kufilisika kisiasa, utasemaje sio tume huru na unashiriki?
Siwalisema anaenda ACT? Wakaungane na maarim seif sharif hamad?
Kishindo cha covid-19 mbele jpm kimemwogopesha eeh.
Sifa ya kupewa fomu tu ya kuomba ridhaa ndani ya chama ni kuwa Mwanachama sifa ambayo Membe alishaipoteza.
Alishawahi kuwa pembeni, hatujawahi kumsikia akisema hivyo.Hata JPM angekuwa pembeni angesema hivyo hivyo kuwa "kukosoa ni kitendo cha maendeleo"
Hitaamini kitachotokea
Hitaamini kitachotokea
SASA HOFU YAKE KWA UPINZANI NI NINI?Magu hata asipopiga kampeni ushindi ni 98% Watanzania wanamkubali sana
SASA HOFU YAKE KWA UPINZANI NI NINI?