Membe: Sijaumbwa kuwa Rais wala sina tamaa ya Urais, mimi sitaki nionekane kibwengo

Membe: Sijaumbwa kuwa Rais wala sina tamaa ya Urais, mimi sitaki nionekane kibwengo

Kapata akili sasa ee?

Membe alikuwa anashabikiwa na kundi dogo sana tena mitandaoni tu...
Msengemfukuza kwa nguvu m geona Kama asingemtoa JPM. Sema mlimtoa ili jpm asiaibike Mana jpm hata ccm wenyewe hawalipendi
 
Msengemfukuza kwa nguvu m geona Kama asingemtoa jpm. Sema mlimtoa ili jpm asiaibike Mana jpm hata ccm wenyewe hawalipendi
Kwa takwimu zipi?

Au bado unaendeleza porojo zilezile kwamba anakubalika wakati hamna kitu?

Kama alikuwa anakubalika hivyo kwanini alipoenda kugombea ACT hatukuziona hizo nguvu zake?
 
Aliyekuwa Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo Bernard Membe amesema amejaribu kwa wakati kugombea Urais na sasa wakati hauko upande wake tena hivyo anawatia moyo vijana kugombea...
Jasusi Mbobezi gani anashindwa hata kujua kuwa anafuatiliwa 24/7 ndani na nje ya nchi hadi Mipango yake Kujulikana mapema na akadhibitiwa?
 
Kwa takwimu zipi?

Au bado unaendeleza porojo zilezile kwamba anakubalika wakati hamna kitu?

Kama alikuwa anakubalika hivyo kwanini alipoenda kugombea ACT hatukuziona hizo nguvu zake?
Kwa Nini mlimfukuza Kama siyo kuogopa nguvu yake. Mbona mlitumia ubabe na nguvu nyingi kumfukuza?
 
Aliyekuwa Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo Bernard Membe amesema amejaribu kwa wakati kugombea Urais na sasa wakati hauko upande wake tena hivyo anawatia moyo vijana kugombea...
Wale wenzake 6 wapo wapi?
 
Kwani lile timbwili timbwili na lowasa wakati ambapo jina lake lilikuwa kwenye mfuko wa shati pale msoga halikuashiria kuwa ana tamaa ya madaraka? yeye aseme tu hawezi kufurukuta kwa sasa...
 
Huyu ni kachero aliyefeli mission ya kuibomoa Chadema, karudi kwa mwajiri wake kichwa chini baada ya Kamanda Mbowe kumpa za uso

Thibitisha kafeli wapi, huku CHADEMA ikiwa na mbunge MMOJA pekee!
 
Kwa takwimu zipi?

Au bado unaendeleza porojo zilezile kwamba anakubalika wakati hamna kitu?

Kama alikuwa anakubalika hivyo kwanini alipoenda kugombea ACT hatukuziona hizo nguvu zake?
Swali! Mbona mlimfukuza?
 
Kwa Nini mlimfukuza Kama siyo kuogopa nguvu yake. Mbona mlitumia ubabe na nguvu nyingi kumfukuza?
Nguvu yake ipi dogo?

Hata Zitto aliamini Membe ana nguvu lakini dakika za mwisho akashtuka kwamba kumbe zilikuwa kelele za wajinga wa chache wa mitandaoni.

Seif alimwambia Membe hizo nguvu zake mbona anazidiwa na mzee wa ubwabwa?
 
Niguse Ninuke.

Nikisha Saini Kile Kitabu Kwa Kalamu Nyekundu Pale Taifa
 
Nguvu yake ipi dogo?

Hata Zitto aliamini Membe ana nguvu lakini dakika za mwisho akashtuka kwamba kumbe zilikuwa kelele za wajinga wa chache wa mitandaoni.

Seif alimwambia Membe hizo nguvu zake mbona anazidiwa na mzee wa ubwabwa?
Kwa Nini mlimfukuza sasa?
 
Dingi apumzike tu aache maneno mengi
Ama kweli mcha kukicha akikosa wembe kucha huwa mtindo.Pole mzee huku upande mwingine lazima uwe na nyama ka ya mzee Kingunge.hata hivyo wamekuheshimu Sana siku ile walimshika yule wewe ukabaki .ok Rudi nyumbani mzee.
 
Back
Top Bottom