Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Ilikuwa ndoto za mchana,akaziamini.Ile sauti iliokuwa inamwambia yeye ni Rais anaikataa?
Ila ameweka historia ya kufukuzwa uanachama huku hajafanya kosa lolote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa ndoto za mchana,akaziamini.Ile sauti iliokuwa inamwambia yeye ni Rais anaikataa?
Member ana maneno mengi yasiyo na tija.Aliyekuwa Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo Bernard Membe amesema amejaribu kwa wakati kugombea Urais na sasa wakati hauko upande wake tena hivyo anawatia moyo vijana kugombea.
Membe amesema yeye hana tamaa na wala hajazaliwa ili awe Rais ndio maana anabakia kuwa mshauri. Ni fisi tu ndiye mwenye tamaa lakini hana mikakati ndio maana tamaa yake inamponzaga hivyo mikakati ikifika mwisho na bado ukawa una tamaa basi utaonekana ni kibwengo.
Membe amewataka vijana wanaotaka kugombea Urais waanze maandalizi mapema lakini wawe waangalifu sana wasije wakafukuzwa kama yeye.
Chanzo: Clouds TV
Maendeleo hayana vyama!
Nilikua nawaambia wapambe wake ,wakawa wabishiKapata akili sasa ee?
Membe alikuwa anashabikiwa na kundi dogo sana tena mitandaoni tu.
Chaajabu na yeye akawa kama Lisu akalewa sifa kwamba anakubalika sana.
Sasa namuamini MusibaMembe alikuwa overrated. Pongezi kwa Ben Mkapa (RIP) na wale wote waliohakikisha hawi Rais mwaka 2015. Ingekuwa disaster kubwa zaidi
Kwa kuwa technically ACT walishamfukuza kabla hata kura moja haijapigwa, anasubiri nini kurudi CCM?
Membe ana courage lakini hakujipanga mapema,kwenda upinzani.Bora akili yake imemrudia sasa
That why wanamuita Jasusi mbobeziBinafsi huwa napata wakati mgumu kumuelewa MEMBE, hana kanuni kama mawimbi yanayo tokana na Tsunami - leo hii atakwambia yeye ana sifa zilizo pitiliza kuwania kiti cha Urais, kesho anakwambia msiniulize maswali mengi nakwenda kwenye Hoteli ya kifahari na mama watoto kula chakula kizuri, kesho kutwa anasema mtu anayetaka kuwaniani Urais anakuwa driven na tamaa ya fisi - sasa tuchukulie lipi tuache lipi - simusemi vibaya lakini wakati mwingine mtu unabaki unajiuliza maswali mengi hivi
huyu mwenzetu aliwezaje kuongoza Wizara ya mambo ya nje kwa term mbili!! Je,kama agefanikiwa kushinda kiti cha Urais Tanzania ingekuwa katika hali gani?