ThugMaster
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 1,594
- 2,234
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana mvuto.Twende na Membe2020 kamanda.
Hahaaa makamanda wamesimamisha masikioTwende na Membe2020 kamanda.
Na nyuma ya JPM kuna BWM ambaye ndiyo aliinusuru CCM 2015 upinzani ulipounganaMembe kamwe hawezi kuwa Rais wa nchi hii,mchezo walomfanyia Lowassa na yeye kafanyiwa. Yeye kakatwa jina kwa kufukuzwa kwenye chama. Magufuli ndo CCM kwa sasa.
Not that extentCCM wamejizika wenyewe. Membe ni bingwa wa mikakati. Ipo siku atakuwa rais. Jiwe jiandae kudhalilishwa au kuwekwa kizuizini.
Wacha wafyekane hawa wote ni waovu tu ndio wametifikisha hapa kama nchi. Akina kinana na Makamba waliozoea kuwaandikia makalipio makali wenzao. Sasa kibao kimegeuka. Ni namna fulani ya fundisho kabla hawajafa.Mwamba wa pande za Kusi, mwanadiplomasia nguli Bernard Membe ameunguruma baada ya kutoswa na CC ya CCM.
Ngoma bado mbichi kabisa hii.
Kwa undani zaidi, jipatie nakala yako ya "The Citizen" hapo kesho Jumamosi 29 February.
View attachment 1372047,