Membe Vs Musiba: Huwezi Kuomba Msamaha Baada ya Hukumu, Msamaha unaomba Wakati wa kesi au Kabla ya Kesi

Membe Vs Musiba: Huwezi Kuomba Msamaha Baada ya Hukumu, Msamaha unaomba Wakati wa kesi au Kabla ya Kesi

Naomba tu viongozi wa dini wasishushe hadhi zao kwa kumtetea Musiba.
Wakati Musiba anaandika ujinga kwenye vijigazeti vyake walikua kimya. Waendelee hivyo hivyo kukaa kimya. Au Kama Musiba kawaahidi kitu, wapewe lkn sio kupitia kwenye shauri la Membe.
 
Back
Top Bottom