Naomba tu viongozi wa dini wasishushe hadhi zao kwa kumtetea Musiba.
Wakati Musiba anaandika ujinga kwenye vijigazeti vyake walikua kimya. Waendelee hivyo hivyo kukaa kimya. Au Kama Musiba kawaahidi kitu, wapewe lkn sio kupitia kwenye shauri la Membe.
Wakati Musiba anaandika ujinga kwenye vijigazeti vyake walikua kimya. Waendelee hivyo hivyo kukaa kimya. Au Kama Musiba kawaahidi kitu, wapewe lkn sio kupitia kwenye shauri la Membe.