Ahahahhh me sijalishwa sumu mbona si huwa nasoma tu post zako najua huyu mtu wa aina gani anapenda sana kutokaKwamaba ni watu wa starehe sana?! Unajua Shunie mimi sipo kama unavyonifikiria.....mawazo haya na sumu ulizolishwa ndio zinazokufanya upige teke bahati ya mtende kuota jangwani....
Basi twende pm, ila usije kuniumbua kaa Charity akira /Inna morata....Naogopa unaweza nitosa wewe. Budget si haba ujue [emoji3][emoji3][emoji3]
Maneno matupu tu haya...si unajua debe likiwa tupu lina kelele sana...Ahahahhh me sijalishwa sumu mbona si huwa nasoma tu post zako najua huyu mtu wa aina gani anapenda sana kutoka
Jaman subir Prondooo akinizingua nahamia kwakoHuu Uzi nausoma kwa uchungu sana,yaani kuna watu wamejilimbikizia warembo,wadhirifu humu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]. Picha linaanza mimi ndo ntazima simu nikiona mapicha picha sishindwii.Ila mambo zako na za rrondo mpo sawa yaan atapata kiboko yake anakuzimiaje simu sasa usiogope mambo za jf ingekuwa hivyo mbona tungeshazimiwa simu na wengi humu na sura zetu za baba na umbo la sanamu la michellin
Thank you love.You are irresistible....
Kwahiyo upo kwenye thelathini na kitu eenhSio ki-ben10 bhn n mtu mzima na mapenzi yangu nishaacha zamani usela
Analeta u cheki_bob mbele ya papuchi... 😀Umeamua kuendeleza mawazo ya kitoto?
MhManeno matupu tu haya...si unajua debe likiwa tupu lina kelele sana...
Mimi.Hivi humu JF ni Manzi gani ana chura?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au unafunika simu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]. Picha linaanza mimi ndo ntazima simu nikiona mapicha picha sishindwii.
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Wakunyumba utanikosesha mchumba unasema napenda stareheKuna vitu flan mpo sawa kuhusu starehe
Usiumie mpenzi.Huu Uzi nausoma kwa uchungu sana,yaani kuna watu wamejilimbikizia warembo,wadhirifu humu
Mmmh,baki huko nicje katwa kichwaJaman subir Prondooo akinizingua nahamia kwako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakunyumba nilijua tuWakunyumba utanikosesha mchumba unasema napenda starehe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmmh,baki huko nicje katwa kichwa