Ni ngumu kuwachagua maana humu kuna kila aina za watu na huvutia zaidi nikiwa na mood flani....
Kiranga ,faiza foxy ,mwanakijiji ,Lara 1 , heaven sent , mshana Jr ,MK24 ( mkenya huyu) .. Pamoja na wanaintelijensia na wachambuzi wa siasa mahiri wa jf kwa kuwa huwa najifunza mengi kupitia ninyi....
RESPECT KWENU