Member wa JamiiForums unayemkubali zaidi

Member wa JamiiForums unayemkubali zaidi

Kwanza waanzilishi wa( jamii forums)Faiza foxy_Mzee tupatupa wa Lumumba_gentamycine_miss chaga_jinga Lao_simiyu yetu_mwanahabari huru_mshana Jr_Nifa_yericko_lizaboni_pasco_ barafu ya moto_mzizi mkavu

Yani hii list ni hatari sana....
 
Pasco
GENTAMYCINE
OLESAIDIMU.

The fixer and woman n a half FaizaFoxy
Pasco,
Tutoke nje ya mada kidogo...

Kuna myimbo ya Wilson Picket huyu alikuwa katika wanamuziki
wa enzi zetu 1960/70 inaitwa, ''A Man And a Half.''

Hii nyimbo ukiacha ''melody'' yake ya kuvutia ina ''lyrics'' za kupendeza:
''...Shakespeare wrote poems about me even before I was born...''

''...me and a camel went across the desert,
and there was no water in sight.
the camel died trying but your man and a half is here loving you tonight.
I am a man and half two wrapped in one...''

Nyimbo hii ndani mna ''minor keys,'' hizi huingiza sadness katika melody.
Sina uhakika na guitar alipiga nani lakini nadhani alikuwa Steve Cropper.

Nikiipiga hii nyimbo kwenye guitar langu Hoffner Electric Solid State...
Hii nyimbo ilikuwa na guitar kali sana lililochanganywa kwa ''octave.''

Siku zimekwenda wapi?
 
Nawakubali sana watu wengi ila kwa dhati kabisa nianze na Chie-Mkwawa kule jukwaa la science na tech. Huyu jamaa anajua mambo mengi sana sana kwenye angle hiyo. Jamaa hana uchoyo wa maarifa,ukiuliza swali au unataka msaada jamaa anatoa maelezo yakutosha. Kuhusu aina za simu,ubora wa simu,ukisasa wa simu,application za simu nk jamaa yupo vizuri sana. Nampongeza sana na kumtia moyo wa kuendelea kutoa mchango wake kwani amekuwa msaada mkubwa sana kwetu. Thumbs up bro chief-mkwawa
 
Pasco,
Tutoke nje ya mada kidogo...

Kuna myimbo ya Wilson Picket huyu alikuwa katika wanamuziki
wa enzi zetu 1960/70 inaitwa, ''A Man And a Half.''

Hii nyimbo ukiacha ''melody'' yake ya kuvutia ina ''lyrics'' za kupendeza:
''...Shakespeare wrote poems about me even before I was born...''

''...me and a camel went across the desert,
and there was no water in sight.
the camel died trying but your man and a half is here loving you tonight.
I am a man and half two wrapped in one...''

Nyimbo hii ndani mna ''minor keys,'' hizi huingiza sadness katika melody.
Sina uhakika na guitar alipiga nani lakini nadhani alikuwa Steve Cropper.

Nikiipiga hii nyimbo kwenye guitar langu Hoffner Electric Solid State...
Hii nyimbo ilikuwa na guitar kali sana lililochanganywa kwa ''octave.''

Siku zimekwenda wapi?

Mkongweee unatisha!
 
Back
Top Bottom