Member wa JF huwa mnajificha wapi mnapo tumia JamiiForums.!??

mm jf natumia popote... nikiwa ofcn natumia via my pc... nikiwa nje ya ofisi natumia kwa simu yangu, nmepakua app yake kabisa. nikiwa kwenye public transport huwa sipendi sana kuperuz jf kwa ku-sign in, naingia tu kama guest, kukiwa na ulazima wa ku-sign in ntafanya hivo kwa tahadhari kubwa, pia sipendi kuchangia sana mijadala nikiwa nje ya ofc, nafanya hivo mara chache, nikiwa nyumbani au ofcn ndio huwa narelax nikitumia jf na mijadala nachangia vizuri .. lengo ni kwamba usikute mtu mwingine ananipiga chabo akafanikiwa kuona my user name aje anichunguze, hahah
 
Mim natumiaaga hadharani ila chaajabu wananiuliza hiki nini nawambia Jf the "only place where we dare to talk openly"
 
Tatzo huku Jf kila mtu ni mchochezi sasa huwa hatuamini mtu hata kwenye daladala inabidi uingie jukwaani kimachale!
 
Maliwatoni
 
Umenikumbusha njemba mmoja humu ambaye aligundua ID ya boss yake baada ya Boss kumuita ili aangalie lap top yake ilikuwa inafanya madudu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…