Member wa JF huwa mnajificha wapi mnapo tumia JamiiForums.!??

Member wa JF huwa mnajificha wapi mnapo tumia JamiiForums.!??

Papaa Gx

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2016
Posts
11,097
Reaction score
17,929
Habari zenu wadau wa JF.?

Naam wadau kama nilivyo andika hapo juu. Napenda kujua hiv nyie wanajukwaa huwa mnatumia huu mtandao wa JF mkiwa maficho gani maana sijawahi kutana wala kuona ata member mmoja akitumia JF hadharani.

Mfano ukiwa kwenye Daladala watu kutumia mitandao kama vile Facebook, Instagram, Twitter, WhatsApp n.k ni jambo la kawaida ila sasa shughuli inakuja kwenye mtandao wa JF. Yaani sijawahi ona wala kukuta mtu anatumia JF hadharani.

Tatizo ni nn wakuu mnaogopa ama ni nn.???
 
Habari zenu wadau wa JF.?

Naam wadau kama nilivyo andika hapo juu. Napenda kujua hiv nyie wanajukwaa huwa mnatumia huu mtandao wa JF mkiwa maficho gani maana sijawahi kutana wala kuona ata member mmoja akitumia JF hadharani.

Mfano ukiwa kwenye Daladala watu kutumia mitandao kama vile Facebook, Instagram, Twitter, WhatsApp n.k ni jambo la kawaida ila sasa shughuli inakuja kwenye mtandao wa JF. Yaani sijawahi ona wala kukuta mtu anatumia JF hadharani.

Tatizo ni nn wakuu mnaogopa ama ni nn.???
Yawezakuwa wewe ndio wale mnaochungulia simu za watu kwenye daladala [emoji6]
 
Mie popote pale ila nikiwa na ndugu, jamaa na marafiki sipendi kuingia huku ili wasijue ID yangu humu. Siku moja nilishangaa kujua ndugu wengi wamo humu na baadhi yao ni MACCM ya kutupa lakini hayamfagilii uchwara. Siku hiyo walikuwa wakijadili mijadala mbali mbali ya humu.

Mi popote natumia lakin hua najitahidi mtu asione machoandika,mara nyingi napenda nikiwa nimekaa nimetulia
 
Mie popote pale ila nikiwa na ndugu, jamaa na marafiki sipendi kuingia huku ili wasijue ID yangu humu. Siku moja nilishangaa kujua ndugu wengi wamo humu na baadhi yao ni MACCM ya kutupa lakini hayamfagilii uchwara. Siku hiyo walikuwa wakijadili mijadala mbali mbali ya humu.
Hahahaha hata mi ndugu hawajui hii id ,,marafiki pia
 
Back
Top Bottom