Member wa kiume wa Jf unayempenda zaidi?

Sasa Dom tunakula pundaaa nyama ya mishikaki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]supu yake nyama moja 100[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo tena ndio umenifikishaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ndugu mjumbe, naona bahati imekuangukia.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Yaani umeokota dodo chini ya mchongoma....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]babu unazeeka vibaya wewe acha uchochezi
 
Najua unachopendelea lakini saivi itabidi nikupeleke kwenye pizza
Huko ndio kuendana na mzingira sasa, ukiwa mjini unakuwa kama watu wa mjini, ukiwa kijijini unakuwa kama watu wa kijijini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…