Member wa kiume wa Jf unayempenda zaidi?

Member wa kiume wa Jf unayempenda zaidi?

Siamini macho yangu, ivi ni kweli tunguli za mganga zimeanza kupwaya kiasi hichi.....

Ngoja nianze kupiga jeramba maana muda si mrefu naweza kuhongwa mpunga wa kueleweka na huyu mke wa mganga....

Amaa kweli Golden chance never come twice!!![emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
GG Imetoa,[emoji16]
 
Ahsante sana, ahsante sana.

Mi sina mashauzi (nikiwa kwenye mood ya kutokuwa na mashauzi) na nazidisha upendo zaidi nikitembelea mitaa ya huku.

Ila mitaa yetu ya jioni kisomo ni ubishi wa Kamikaze na Jiu-Jitsu moves kwenda mbele.

Get together December utaenda?
Kaka mkubwa umeadimika sana aisee...!
 
Kaka mkubwa umeadimika sana aisee...!

Ndugu yangu wee.

Nafanikisha miradi fulani ya biashara ndogondogo mjini kwa wadogo zangu hapo mambo yaende vyema.

Kaka mkubwa akisikia vyuma vinabana mjini inamuuma sana inabidi aweke grisi japo kidogo kwa ubishi ubishi watu wapate urahisi.

Sasa ukiniona kimya sana ndo nachakalika na shughuli mara nyingine.

Maisha mafupi, umuhimu wako unaendana na jinsi utakavyokuwa wa msaada kwa jamii yako.
 
Ndugu yangu wee.

Nafanikisha miradi fulani ya biashara ndogondogo mjini kwa wadogo zangu hapo mambo yaende vyema.

Kaka mkubwa akisikia vyuma vinabana mjini inamuuma sana inabidi aweke grisi kidogo watu wapate urahisi.

Sasa ukiniona kimya sana ndo nachakalika na shughuli mara nyingine.

Maisha mafupi, umuhimu wako unaendana na jinsi utakavyokuwa wa msaada kwa jamii yako.
Tuko pomoja bro,ila nahuzunika sijatajwa mpaka muda huu !

Naendelea kufungua kurasa nilikuwa ukurasa wa 82 mpaka sasa bila bila,ila nimeanza kurudi nyuma kuangalia tena kama niliangalia vizuri ukurasa au la !?
 
Tuko pomoja bro,ila nahuzunika sijatajwa mpaka muda huu !

Naendelea kufungua kurasa nilikuwa ukurasa wa 82 mpaka sasa bila bila,ila nimeanza kurudi nyuma kuangalia tena kama niliangalia vizuri ukurasa au la !?
Ushajitaja mwenyewe sasa, watakuja watakuona.

Zile juhudi zako za PM inaonekana bure tu kumbe.
 
Aaahhh ngoja basi nitengeneze ID ya kike niwe namimi kwenye nyuzi kama hizi nijipe maujiko mwenyewe [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
Usijaribu kujifananisha na mtoto wa kike hata kwa mzaha,si katika tabia zetu sisi wanaume.

Piga moyo konde ,tuungane katika kusoma maoni ya wapenda nao humu.
 
Back
Top Bottom