Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Mnanionea mkuu....hapa jf watu wanatusua betting Kwa msaada wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnanionea mkuu....hapa jf watu wanatusua betting Kwa msaada wangu
Sio kweli mkuu.. mpira naujua sana..hapa jf watu wanatusua betting Kwa msaada wanguHabari wanajukwaa ikiwa mwaka 2023 unaishia ishia. Taja member ambao unaona wanauelewa wa kiwango cha chini kwenye mpira, au pengine unazi wa utimu umemzidia. Mimi kwangu ni hawa wafuatao wakabadilike kuelekea mwaka mpya 2024.
1) Laban Og huyu nyuzi zake hazinaga maana zaidi ya unazi uliopitiliza kwa timu yake
2) Sayville. Huyu mzee wa kujitoa akili na ufahamu na hajui kujibu anachoulizwa.
3) Cashman, Dully Jr hawa hawachelewi kupaniki na kutoa lugha chafu kama wakizidiwa hoja.
Hapa nimezungumzia kwenye jukwaa hili la michezo, inawezekana labda kwenye majukwaa mengine kama siasa, n.k wakawa ni wapo vizuri tu.
Taja member wengine ili wabadilike mwaka mpya panapo majaliwa.
JF Sport, isimame katika jukwaa bora na makini.
Dah! Naona Comrade kenge, umeamua kujipakulia mwenyewe minyama kabla haijaisha mwenye sufuria. 😁Kuna mwamba anaitwa KENGE 01 huyu mwamba anajua mpira haswa mwingine ni Chief-Mkwawa huyu mwamba aisee
Hiyo list imekuwa fake baada ya kukosekana kwa Tate Mkuu na NALIA NGWENA hawa weupe kabisa....Habari wanajukwaa ikiwa mwaka 2023 unaishia ishia. Taja member ambao unaona wanauelewa wa kiwango cha chini kwenye mpira, au pengine unazi wa utimu umemzidia. Mimi kwangu ni hawa wafuatao wakabadilike kuelekea mwaka mpya 2024.
1) Laban Og huyu nyuzi zake hazinaga maana zaidi ya unazi uliopitiliza kwa timu yake
2) Sayville. Huyu mzee wa kujitoa akili na ufahamu na hajui kujibu anachoulizwa.
3) Cashman, Dully Jr hawa hawachelewi kupaniki na kutoa lugha chafu kama wakizidiwa hoja.
Hapa nimezungumzia kwenye jukwaa hili la michezo, inawezekana labda kwenye majukwaa mengine kama siasa, n.k wakawa ni wapo vizuri tu.
Taja member wengine ili wabadilike mwaka mpya panapo majaliwa.
JF Sport, isimame katika jukwaa bora na makini.
Ndo uwe unaficha UMBUMBUMBU wako sasaUnataka nikukande huu usiku ulale kwa furaha
NAomba usintag kwenye nyuzi za kipumbavu nina majonzi makubwa leo
Mimi ni mchezaji mstaafu wa mpira wa miguu, ni kocha mstaafu, na pia ni mdau wa michezo!! Angalia hii CV ilivyoshiba! Halafu uone ni kwa namna gani ulivyo chochoa.Hiyo list imekuwa fake baada ya kukosekana kwa Tate Mkuu na NALIA NGWENA hawa weupe kabisa....
Hilo ni tutus kabisaNALIA NGWENA
Huyu jamaa anaongoza Kwa kua mweupe hapa jukwaani.
Umepita mule muleee
Amedhihirisha yeye ni mpumbavu, hajaonewa alivyotajwa.Vitisho vya kizamani sana hivi. Umeonyesha ulivyo mpumbavu
KafinyweNdo uwe unaficha UMBUMBUMBU wako sasa
Mnapenda sana kujiaminisha ujinga
Utoto raha sanaHabari wanajukwaa ikiwa mwaka 2023 unaishia ishia. Taja member ambao unaona wanauelewa wa kiwango cha chini kwenye mpira, au pengine unazi wa utimu umemzidia. Mimi kwangu ni hawa wafuatao wakabadilike kuelekea mwaka mpya 2024.
1) Laban Og huyu nyuzi zake hazinaga maana zaidi ya unazi uliopitiliza kwa timu yake
2) Sayville. Huyu mzee wa kujitoa akili na ufahamu na hajui kujibu anachoulizwa.
3) Cashman, Dully Jr hawa hawachelewi kupaniki na kutoa lugha chafu kama wakizidiwa hoja.
Hapa nimezungumzia kwenye jukwaa hili la michezo, inawezekana labda kwenye majukwaa mengine kama siasa, n.k wakawa ni wapo vizuri tu.
Taja member wengine ili wabadilike mwaka mpya panapo majaliwa.
JF Sport, isimame katika jukwaa bora na makini.
Nadhani kuna ile kanuni ukiutemea mate upepo yatarudi usoni kwako,kama ulijaribu kufanya hivyo,basi utaulaumu upepo?Habari wanajukwaa ikiwa mwaka 2023 unaishia ishia. Taja member ambao unaona wanauelewa wa kiwango cha chini kwenye mpira, au pengine unazi wa utimu umemzidia. Mimi kwangu ni hawa wafuatao wakabadilike kuelekea mwaka mpya 2024.
1) Laban Og huyu nyuzi zake hazinaga maana zaidi ya unazi uliopitiliza kwa timu yake
2) Sayville. Huyu mzee wa kujitoa akili na ufahamu na hajui kujibu anachoulizwa.
3) Cashman, Dully Jr hawa hawachelewi kupaniki na kutoa lugha chafu kama wakizidiwa hoja.
Hapa nimezungumzia kwenye jukwaa hili la michezo, inawezekana labda kwenye majukwaa mengine kama siasa, n.k wakawa ni wapo vizuri tu.
Taja member wengine ili wabadilike mwaka mpya panapo majaliwa.
JF Sport, isimame katika jukwaa bora na makini.