Member wanaongoza kwa kuwa weupe kwenye maswala ya mpira wa miguu.

Sio kweli mkuu.. mpira naujua sana..hapa jf watu wanatusua betting Kwa msaada wangu
 
Hiyo list imekuwa fake baada ya kukosekana kwa Tate Mkuu na NALIA NGWENA hawa weupe kabisa....
 
Utoto raha sana
 
Nadhani kuna ile kanuni ukiutemea mate upepo yatarudi usoni kwako,kama ulijaribu kufanya hivyo,basi utaulaumu upepo?
 
Hata ww mwenyewe mweupe tu,naona hujajiweka kwa list
 
Watu wa mpira wapo wachache sana nimeona wanasiasa wamevamia huku na matusi yao hakuna wanachojua...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…