Member wapenda kucheka ninaowajua ndani ya JF

Member wapenda kucheka ninaowajua ndani ya JF

cheka panapohitaji kucheka kukasirika unaweza ukakasirika unavyojiskia ila kitendo cha kucheka cheka sehemu zisizo husika ndio nisipokupenda.

kucheka kuna maana nyingi 1.Kuchekeshwa 2.Dharau ila hawa member nlowataja leo carleen yeye anachekeshwa ndio mana anacheka ila hiii basta raimz yenyewe nadhani inachekaga kwa madharau hapo ndio inaponisimamisha sharubu.

mana hawezi cheka cheka sehemu watu wana discuss point za kujibia hata mtihani wa sup yeye anacheka tu..
Ukisha sema "Nadhani" anachekaga kwa dharau unakua umeshakosea,hiyo ni dhana yako ambayo huenda ukawa haupo sahihi,unaposema "Cheka panapostahili kucheka" unakua haupo sawa,Binadamu hatufanani,wewe unaweza kuona jambo fulani halichekeshi ila mwenzako akaona linachekesha,
No one is incharge of your hapiness except you,
Mkuu acha kufuatilia hivi vitu ambavyo ni hisia za watu na zipo out of ur control,unaweza kujikuta upo Milembe na umesha pewa namba na nguo. 😀 😀
 
wakiwa wanagombania kret za bia msibani kweli ukute kuna utelezi mtu akadondoka mimi mwenyewe lazima nitacheka,kuna situation kucheka ni lazima huwezi mzuia mtu acheke.

sio yale maswala ya zamani mko class halafu teacher ubaoni anaachia ushuziii unaskika darasa zima halafu anataka kutuzuia tusicheke,mimi bora aniue ila nilikua nacheka haswaa.
Kuna mwanangu aliotewa anacheka back benchaz na ticha mmoja wa Science wakuitwa Mr.Mloka wakati anapiga pindi enzi hio tuko Std7!

Eeh bana Mchizi wetu alitiwa Bao kama la Nyani. Vidole vikabaki shavuni na michaki chaki ile...sikuile nilicheka mpaka machozi yalintoka kila nikiwaza bao alilopigwa mwana😂😂😂! Nkasikia "Kibirige march foward,i'm teaching and you are joking whats funny?" Bwaaaaah mkofi 😂😂😂😂😂😂
 
wakiwa wanagombania kret za bia msibani kweli ukute kuna utelezi mtu akadondoka mimi mwenyewe lazima nitacheka,kuna situation kucheka ni lazima huwezi mzuia mtu acheke.

sio yale maswala ya zamani mko class halafu teacher ubaoni anaachia ushuziii unaskika darasa zima halafu anataka kutuzuia tusicheke,mimi bora aniue ila nilikua nacheka haswaa.
Hahahahah we unacheka ticha akijamba 😂😂😂??? Ushuzi si science ile
 
Ukisha sema "Nadhani" anachekaga kwa dharau unakua umeshakosea,hiyo ni dhana yako ambayo huenda ukawa haupo sahihi,unaposema "Cheka panapostahili kucheka" unakua haupo sawa,Binadamu hatufanani,wewe unaweza kuona jambo fulani halichekeshi ila mwenzako akaona linachekesha,
No one is incharge of your hapiness except you,
Mkuu acha kufuatilia hivi vitu ambavyo ni hisia za watu na zipo out of ur control,unaweza kujikuta upo Milembe na umesha pewa namba na nguo. 😀 😀
mkuu mtoto wa jirani akiharibika mbele yako lawama ni zako.
 
Mkuu SEASON 5 hapa tupo online halaf ni ndan ya JF ambapo tunatumia fake IDs, pamoja na hzo fake IDs usishangae pia humu tuna fake life, hakuna anayemjua mwenzake anafananaje.

Huyo Extrovert usikute anapiga hata miayo hajui atakula nini leo lakini akiwa nyuma ya keyboard anafanya/anaongea anavyojua yeye cuz hakuna anayemfaham.

...halafu mkuu, kwani mbona jina la ID yake linasadifu kabisa reactions zake!? Extroverts ni watu wenye viherehere sana, waongeaji, waongo, wenye masihara na porojo nying sana, hvyo usishangae hvo ndvo alivyo!
 
...halafu mkuu, kwani mbona jina la ID yake linasadifu kabisa reactions zake!? Extroverts ni watu wenye viherehere sana, waongeaji, waongo, wenye masihara na porojo nying sana, hvyo usishangae hvo ndvo alivyo!
asante kwa kunielewesha mkuu
 
Mkuu SEASON 5 hapa tupo online halaf ni ndan ya JF ambapo tunatumia fake IDs, pamoja na hzo fake IDs usishangae pia humu tuna fake life, hakuna anayemjua mwenzake anafananaje.

Huyo Extrovert usikute anapiga hata miayo hajui atakula nini leo lakini akiwa nyuma ya keyboard anafanya/anaongea anavyojua yeye cuz hakuna anayemfaham.

...halafu mkuu, kwani mbona jina la ID yake linasadifu kabisa reactions zake!? Extroverts ni watu wenye viherehere sana, waongeaji, waongo, wenye masihara na porojo nying sana, hvyo usishangae hvo ndvo alivyo!
Ni kweli mkuu hujakosea. Mi napiga mihayo kichizi now. Sijala toka asubuhi mkuu.😵😵😵 Naomba nisaidie japo buku nikapate chochote kitu masta.
 
Mimi ni moja ya watu wanaopenda sana kufatilia reaction katika mabandiko ya watu,huwa nikiona post imepata likes nyingi na kati ya hizo likes kuna ka dislike kamoja huwa napenda sana kujua ni nani huyo alie dislike post iliyopokea likes zaidi ya 100.

nikishamjua muhusika basi wala sina la kumfanya huwa napenda tu kumjua muhusika inatosha,kadhalika nikiona mtu ka comment au kaanzisha uzi uko very serious halafu nakutana na ka reaction cha kucheka,huwa lazima niguse kugundua huyu aliecheka ni nani wakati mtu kaandika kitu serious namna hiii.

sasa katika kagua kagua zangu kuna member wawili ndani ya JF sio kwamba nawafatilia ila nakutana nao sana kwenye reaction za kicheko,huwa nikiona post ina likes 30 halafu kuna ki emoj cha [emoji23] au cha [emoji1787] huwa tayari nakua najua hizo emoj zimetoka kwa watu gani,maana wao ndio wacheka cheka humu JF.

Nadhani bandama zao zina fanya kazi vizuri,kuna wakwanza anajiita carleen huyu kaweka dp ya mdada wa bongo movie sijui,huyu member bwana anapenda kucheka sio kidogo ila ninachompendea huyu yeye anacheka panapostahili kucheka nadhani ni moja ya watu wenye raha sana,kuwa na huyu mtu nadhani ticket ya kwanza inabdi uwe mchekeshaji.

Lakini kuna member mwingine ambae sijawahi kuelewa kwanini anacheka cheka,yani kuna muda react emoj ya kicheko kwenye post iko very serios yeye huyo unamuona kacheka yani nashndwaga elewa huyu member n mwezi mchanga au huwa inatokea tu na yeye ana raha sana,yani mtu anaweza fungua thread akaomba ushauri wa dawa ya kutibu TUMBO kwenye comment akatokea mtu akashauri, "nenda katumie flagile na unywe maji mengi" akija huyu member utamuona ana tupia reaction ya [emoji1787] yani ananiboaga kisengerema hajui tu,sasa ana cheka nini hapo?

Au mtu anaweza akafungua thread akaomba msaada wa TV nzuri,kwenye comment mtu akamshauri "nenda katafute tv inaitwa sony huwa ni nzuri sana" akija huyu member akiona hiyo comment utamuona anatupia [emoji23] basi natamani angekua karibu nimuulize hivi brooo unacheka cheka nini? huwezi kujikaza wewe?

Member huyo si mwingine ni jamaa anaitwa extrovert we jamaa najua ukiona hii post utacheka kama kawaida ako,bahati nzuri member wapenda kucheka ninaowajua 1 ni me 1 ni ke hawa naamini wanaweza tengeneza couple nzuri sana mjini maana wao kucheka ndio kitu wanazingatia ktk maisha yao,sema extrovert maswala yako ya kucheka cheka kwenye viitu serious uache unazingua halafu mpk nahisi kuna watu unawaboa sema ndio hivyo hujui tu.Badilika ILA kwa dada carleen wewe mama kula maisha endelea kukenua kwa raha zako.
Una muda sana mkuu wa kufatilia tabia za members wengine humu
 
Back
Top Bottom