Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha! hajui tunafurahia uchumi wa kati.Jamaa ananiwaza kinoma kisa emoji tu
Haelewi mastaHa ha ha! hajui tunafurahia uchumi wa kati.
NIMEJAA TELE MASTAMkuu upo?
NDIO MKUUwe jamaa upo?
Nasikia ulimlia jamaa demu wake.Naona maisha yako yamekuwa magumu sana kiasi kwamba umeamua kufuatilia ya wenzio mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Na uzuri leo nimeamka na furaha sana mkuu nakutaarifu tu nikuwa nacheka sana hapa nilipo baada ya kusubiria flight ya KLM ambayo ilikuwa very delayed hapo jana. Ila subira yangu haikuwa bure maana nina super classic pair ya ALDO, Very decent outfits kutoka kwa mabeberu huko naisubiria weekend kwa hamu nije kukunyoosha kokote unapotesekea hapa mjini [emoji23]!!!
Kenge ww [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hahaha jamaa bana anateseka kweli siku nikimlia manz wake anaeza danjaNasikia ulimlia jamaa demu wake.
Sema mwanangu Extrovert, mchekaji mwenzangu, kuna thread mpaka za msiba nakutaga reaction yako ya kucheka, nabaki kushangaa..Hahaha jamaa bana anateseka kweli siku nikimlia manz wake anaeza danja
Heheheh kucheka si imerahisishwaSema mwanangu Extrovert, mchekaji mwenzangu, kuna thread mpaka za msiba nakutaga reaction yako ya kucheka, nabaki kushangaa..
Kuna member mwingine ukimtoa mkwepu jr yeye yupo kule jukwaa la siasa huyu member kazi yake ni kusambaza dislikes huyu jamaa simuelewagi kwake huko anaishije na familia yake,kitu pekee utachoona ka like ni habari ya mtu aseme Tundu Lissu atakua rais au ndio rais wa tz atakupa likes hata 100 ila nenda tofauti nae utaona.
Sema mwanangu Extrovert, mchekaji mwenzangu, kuna thread mpaka za msiba nakutaga reaction yako ya kucheka, nabaki kushangaa..
Hadii msibani walaqhi'..??Heheheh kucheka si imerahisishwa
msibani hapana ukiona nimecheka ujue mtu kaongea kitu cha kunifurahishaHadii msibani walaqhi'..??
Nuh'...!msibani hapana ukiona nimecheka ujue mtu kaongea kitu cha kunifurahisha