Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
[emoji23][emoji23] muendelezo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseeeee
[emoji28][emoji28] labda kwenye uzi wa Je,ulishawahi kula tunda kimasihara?
hahahahaha machette unanipeleka kwenye dhambi sasa.[emoji28][emoji28] labda kwenye uzi wa Je,ulishawahi kula tunda kimasihara?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]Kuna jamaa nimemsahau jina ana huo uzi wake karibia comments zote ni zake, anapost balaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio auntie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
Ruta.... jina gumuu
uzi gani?Ndio auntie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nachekaga, na hachoki.
huyo jamaa hajali mnasoma au hamsomi yeye anaandika tu
Jins ya ku download video YouTube
Niambien
stidy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyo jamaa hajali mnasoma au hamsomi yeye anaandika tu
Mimi huwa naona yeye ndiye anaongoza list ya watu wenye post nyingi jf halafu cha kushangaza sijawahi kuona comment yake popote pale humu ndani ya jf, nikawa najiuliza hii inawezekanaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na sidhani kama huwa anachangia post zingine zaidi ya hiyo.
Miaka ya nyuma alikua kwenye uzi wa manchester utd kule....comments nying zilikua zake halafu kila dakika....tukamfurusha kule [emoji28][emoji28]akapotea then akaibukia huko kwenye jukwaa hilo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na sidhani kama huwa anachangia post zingine zaidi ya hiyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi huwa naona yeye ndiye anaongoza list ya watu wenye post nyingi jf halafu cha kushangaza sijawahi kuona comment yake popote pale humu ndani ya jf, nikawa najiuliza hii inawezekanaje?
Kumbe amejifungia kwenye uzi wake huko the palace.
Daaah!! Haki huwa nacheka nawaza hivi huyu mtu anawaza nini?Miaka ya nyuma alikua kwenye uzi wa manchester utd kule....comments nying zilikua zake halafu kila dakika....tukamfurusha kule [emoji28][emoji28]akapotea then akaibukia huko kwenye jukwaa hilo