Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Kuna watu wana tabia ngumu sana, ubaki unajiuliza huyu mtu huwa anawaza nini![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaona isiwe taabu, anajipostia tu kwenye uzi wake na hana habari.
Kwakweli.Kuna watu wana tabia ngumu sana, ubaki unajiuliza huyu mtu huwa anawaza nini!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi huwa naona yeye ndiye anaongoza list ya watu wenye post nyingi jf halafu cha kushangaza sijawahi kuona comment yake popote pale humu ndani ya jf, nikawa najiuliza hii inawezekanaje?
Kumbe amejifungia kwenye uzi wake huko the palace.
Mimi namuelewa sana jamaa. Huwa hapost pumba hata moja ni points tu. Bora huyo kuliko anaepost upupu ili apate likes.Kuna watu wana tabia ngumu sana, ubaki unajiuliza huyu mtu huwa anawaza nini!
Rutashubanyuma sijuiKuna jamaa nimemsahau jina ana huo uzi wake karibia comments zote ni zake, anapost balaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini ana madini sanaNdio auntie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nachekaga, na hachoki.
Ndio.
Ni kweli, smart people wanakuwaga weird.
Hilo sikatai, ila kufanya jambo hilo hilo kwa kipindi cha miaka mitano mfululizo bila kuacha inahitaji msukumo fulani wa kipekee ambao wengi wetu hatuna.Mimi namuelewa sana jamaa. Huwa hapost pumba hata moja ni points tu. Bora huyo kuliko anaepost upupu ili apate likes.
Ipakue hii hapa mkuuJins ya ku download video YouTube
Niambien
stidy
Huyu jamaa ana Ikulu yake Chatoni mwake kama Lukum tuwe..Mimi huwa naona yeye ndiye anaongoza list ya watu wenye post nyingi jf halafu cha kushangaza sijawahi kuona comment yake popote pale humu ndani ya jf, nikawa najiuliza hii inawezekanaje?
Kumbe amejifungia kwenye uzi wake huko the palace.
Huwa anachangia uzi wa Manchester piaMimi huwa naona yeye ndiye anaongoza list ya watu wenye post nyingi jf halafu cha kushangaza sijawahi kuona comment yake popote pale humu ndani ya jf, nikawa najiuliza hii inawezekanaje?
Kumbe amejifungia kwenye uzi wake huko the palace.
Ilikuwaje kuyurushwa huko?Miaka ya nyuma alikua kwenye uzi wa manchester utd kule....comments nying zilikua zake halafu kila dakika....tukamfurusha kule [emoji28][emoji28]akapotea then akaibukia huko kwenye jukwaa hilo
Kuna jamaa nimemsahau jina ana huo uzi wake karibia comments zote ni zake, anapost balaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Fuatilia vizuri, huwa anaanzisha mada ndani ya uzi wake na kuivunja vunja katika post fupi fupi...huko huwa anaukaanga sana utawala wa awamu ya Chattle....huwa ana refer vifungu vya bible sana piaDaaah!! Haki huwa nacheka nawaza hivi huyu mtu anawaza nini?
Kwa kutumia kifaa gani mkuu?Jins ya ku download video YouTube
Niambien
stidy
Duuuuh!!Fuatilia vizuri, huwa anaanzisha mada ndani ya uzi wake na kuivunja vunja katika post fupi fupi...huko huwa anaukaanga sana utawala wa awamu ya Chattle....huwa ana refer vifungu vya bible sana pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi tumesema hatumuelewi? Kwa hiyo unamuelewa wewe peke yako?Ruta hamumuelewi sababu anaandika vitu vilivyo beyond your senses
Napenda watu wa hvo ambao wapo tofauti kwenye jamii kimawazo na matendo