Members na nyuzi zao pendwa

Members na nyuzi zao pendwa

Mimi huwa naona yeye ndiye anaongoza list ya watu wenye post nyingi jf halafu cha kushangaza sijawahi kuona comment yake popote pale humu ndani ya jf, nikawa najiuliza hii inawezekanaje?
Kumbe amejifungia kwenye uzi wake huko the palace.
Huyu jamaa ana Ikulu yake Chatoni mwake kama Lukum tuwe..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huwa naona yeye ndiye anaongoza list ya watu wenye post nyingi jf halafu cha kushangaza sijawahi kuona comment yake popote pale humu ndani ya jf, nikawa najiuliza hii inawezekanaje?
Kumbe amejifungia kwenye uzi wake huko the palace.
Huwa anachangia uzi wa Manchester pia
Screenshot_20200510-114815.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom