Members ninao wakubali sana hapa JF

DIDAS TUMAINI

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2014
Posts
242
Reaction score
676
Usifikiri na wewe hautaenda labda ubadilishe njia lkn ukiendelea hiviView attachment 1449894

Pepo utaisikia tu..

Tunajua mambo yako na hapo ulikutana na kikwazo mambo yakawa mambo.. hata hivyo usihofu najua ni ajali kazini ila peponi utapasikia tu!
mkuu mbona unamtia aibu mzee wetu kigagula huku jamvini ? ona sasa umeleta balaa na kurusha picha zake akiwa kazini. hahahahahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu mbona unamtia aibu mzee wetu kigagula huku jamvini ? ona sasa umeleta balaa na kurusha picha zake akiwa kazini. hahahahahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
Anasema mi nitaenda motoni sijui kajisahau yeye mambo yake mbalimbali!..
Namkumbusha tu asizani hatumjui tunamjua ila tunafutika tu kombe ili mwanaharamu apite!..

Hapo alikutana na wenye nchi..😂
 
Usifikiri na wewe hautaenda labda ubadilishe njia lkn ukiendelea hiviView attachment 1449894

Pepo utaisikia tu..

Tunajua mambo yako na hapo ulikutana na kikwazo mambo yakawa mambo.. hata hivyo usihofu najua ni ajali kazini ila peponi utapasikia tu!
[emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji87][emoji87][emoji124][emoji124][emoji124]

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…