muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,539
- 3,551
kweli mod wa jf wazembe yaani huu upuuzi mpaka leo bado upo ,yaani wazembe lama serikali ya ccm
tatizo la jf siku hizi ilipopata umaarufu wa kutajwa had I Bungeni n had I wampum.bav wakaifaham. sasa unatuambia badoo unadhani sie wageni I hatuufaham mtandao huo au none sense skuhz naona mods wamekuwa wajasiria Mali WAPO busy hawaon humu ndo mana ,mda mwingne nibora nikeshe f b kuliko kuingia humu kuna mautumbo ya kutosha kunakera sometimes
Alafu huko badoo nilijiunga nikajitoa mwenyewe!kuna mashoga kibao kwenye huo mtandao