Members wa hili jukwaa punguzeni 'Uchawi'

Unakuta mtu anabakia kuponda wakati hana hata kitu

lakini kwa hizi MB8 tutegemee mabadiliko makubwa, mtu akijitahidi sana ni one comment tena fupi na two likes, anakuwa off line tena automatic
 
kuna mchawi wa diamond no moja kule insta, ana wiki sasa hajaloga, kuulizwa eti nimekatazwa na boss wangu kumbe MB8
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…