Members wa JF bwana!!!!

Members wa JF bwana!!!!

nilishawai kukutana na mwanajf mmoja . tulienda hadi home kwake.ile sio nyumba wala mjumba sijui niiteje maana kila chumba kila bafu na gym yake .camera hadi chooni. elimu yake sijui nisemeje .ni super rich. ila huwezi amini humu jf ana post za kipuuzi sijawai ona.unaweza kumkuta hata kwenye post za team mond au kiba na yeye anatukana kule. ukienda mmu kajaa tele .ukienda chit chat ndo usiseme ni ngumu kabiasa kujua huyu jamaa ni mtu anaeheshimika vibaya mno ndani na nje ya nchi. maisha ya jf hayana uhalisia wowote .
miss chagga lara 1 njooni niwape chimbo muachane na shida za dunia
Miss hiyo story umefupisha sana!
 
nilishawai kukutana na mwanajf mmoja . tulienda hadi home kwake.ile sio nyumba wala mjumba sijui niiteje maana kila chumba kila bafu na gym yake .camera hadi chooni. elimu yake sijui nisemeje .ni super rich. ila huwezi amini humu jf ana post za kipuuzi sijawai ona.unaweza kumkuta hata kwenye post za team mond au kiba na yeye anatukana kule. ukienda mmu kajaa tele .ukienda chit chat ndo usiseme ni ngumu kabiasa kujua huyu jamaa ni mtu anaeheshimika vibaya mno ndani na nje ya nchi. maisha ya jf hayana uhalisia wowote .
miss chagga lara 1 njooni niwape chimbo muachane na shida za dunia
Miss hiyo story umefupisha sana!
 
nilishawai kukutana na mwanajf mmoja . tulienda hadi home kwake.ile sio nyumba wala mjumba sijui niiteje maana kila chumba kila bafu na gym yake .camera hadi chooni. elimu yake sijui nisemeje .ni super rich. ila huwezi amini humu jf ana post za kipuuzi sijawai ona.unaweza kumkuta hata kwenye post za team mond au kiba na yeye anatukana kule. ukienda mmu kajaa tele .ukienda chit chat ndo usiseme ni ngumu kabiasa kujua huyu jamaa ni mtu anaeheshimika vibaya mno ndani na nje ya nchi. maisha ya jf hayana uhalisia wowote .
miss chagga lara 1 njooni niwape chimbo muachane na shida za dunia
Ha ha huyo simtaki
 
Huwa naona ila namshukuru M'Mungu sinaga tabia ya kutilia manani sifa za maandishi ya watu humu jf mi napenda nimuone mtu live anitetemeshe ndio hapo nampa heshima.

Ila kimitandaoni huwa nawasoma kimya kimya wale wanaojitapa halafu nawapotezea.
Uko kama mimi aisee kwa maana unaweza ukakuta kile anachotype nyuma ya keyboard ni tofauti na maisha halisi
 
Yaani humu kila mwanaJF anaponda kuajiriwa serikalini, kila mmoja kajiajiri, kila mmoja hana shobo na mshahara wa serikali, kila mmoja wazazi wake wana elimu ya chuo kikuu, kila mmoja kasoma mwenye elimu ya chini ni shahada ya kwanza (tena UDSM).
Kila mtu alishazinguana na askari wa usalama barabarani (traffic) akiwa anaendesha gari lake binafsi.

WanaJF Bwana!
Hii reseach yako umeifanya kuanzia lini
 
Uko kama mimi aisee kwa maana unaweza ukakuta kile anachotype nyuma ya keyboard ni tofauti na maisha halisi

Nilichogundua walio wengi ni wepesi wa kusahau wanavyokuwa wameviandika nyuma na sa sijui wanakuwa hawajui kama tulio wengi tunaona.

Ila kiukweli mwanzoni kaka nilipata sana shida ila sasa hivi. Akaaaaa.
 
Back
Top Bottom