Members wengi wa JamiiForums ni watumiaji wa Tecno

Members wengi wa JamiiForums ni watumiaji wa Tecno

Ila Mimi siyo UVCCM

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
Swissme siyo wote wanayotumia TECNO wamegawiwa na Lumumba bali Lumumba wameangalia simu za bei ya chini ili waje wasumbue humu jf.
 
Usi-force tufanane Dogo,hata skuli kuna m2 yupo vzur kwenye BAM (Basic Applied Mathematics ), mwingine yupo vzur kwenye Chemistry, mwingine Biology,mwingine physics, mwingine History au mwingine yupo vzur kwenye fine Arts na hivyo ndvyo maisha yanapaswa kuwa

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Ukiona uzi hauchangiwi sana ujue wengi wao wanaona aibu kuumbuka na vitekno vyao ..[emoji3][emoji3]

Sent from my SM-A510F using JamiiForums mobile app
Itakuwa ni utoto kuona aibu eti kumiliki simu fulani,na nadhani ni tabia ya ulimbukeni kushindana kwenye simu badala ya vitu vya msingi katika maisha.Wengi wana simu kwa ajili ya show off lakini ukiangalia maisha yake bora yetu tunaotumia Alcatel za tochi na techno za bei poa.Tabia hizi ni ujinga wa hali ya juu ambao ni vigumu kuuondoa.Watu kama Dangote anamiliki simu simple tu!Tabia za watu masikini wa akili na Mali zilisababisha wahenga waseme "Maskini akipata ma.ta.ko hulia mbwata" Nayasikia hapa yanavyolia mbwata!Wengine tulianza na black berry enzi hizo,leo tunatumia techno..Simu haiwezi kumrubuni mtoto wa kike tafuteni kiki nyingine!

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Aaaaah hilo linaukweli ndani yake
Ila yangu mm sijui jina lake anayejua anitumie huku

Sent from my Infinix-X600 using JamiiForums mobile app
 
Kuongoza kwa maana ya kuwa ya kwanza kwa mauzo duniani eti!

brain is the beautiful part of the body.


476885906137.gif

Dunia ipi mkuu?
 
Itakuwa ni utoto kuona aibu eti kumiliki simu fulani,na nadhani ni tabia ya ulimbukeni kushindana kwenye simu badala ya vitu vya msingi katika maisha.Wengi wana simu kwa ajili ya show off lakini ukiangalia maisha yake bora yetu tunaotumia Alcatel za tochi na techno za bei poa.Tabia hizi ni ujinga wa hali ya juu ambao ni vigumu kuuondoa.Watu kama Dangote anamiliki simu simple tu!Tabia za watu masikini wa akili na Mali zilisababisha wahenga waseme "Maskini akipata ma.ta.ko hulia mbwata" Nayasikia hapa yanavyolia mbwata!Wengine tulianza na black berry enzi hizo,leo tunatumia techno..Simu haiwezi kumrubuni mtoto wa kike tafuteni kiki nyingine!

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app


teh teh...Ni kweli mkuu hata waendesha Range na Maprado wengi hawana hela ni ShowOff na watumiaji ya vits na passo ndio wenye kuishi maisha mazuri saana
 
Back
Top Bottom