Members wengi wa JamiiForums ni watumiaji wa Tecno

Members wengi wa JamiiForums ni watumiaji wa Tecno

Hakuna kitu kinachoitwa tecno worldwide
Itabidi nihame maana hata kule GSM Arena inatoa specifications ya simu zote isipokuwa tecno au ni OG sana ndo maana inashindwa kuitambua mkuu?

brain is the beautiful part of the body.
 
Sio tecno tuu,mi natumia TECNO T611 ase kama namb ya gari,tu jaman tecno n shida.
 
JamiiForums naona mmeamua kuwachagulia watumiaji wenu signature automatically.

Tecno imeteka soko la Tanzania, maana kila mtu akipost, chini unaona sent from Tecno...[emoji3]

Ushauri kwa wanaotongoza humu na kusema wanatumia iPhone 7, na wanaponda hizi simu zetu; badilisheni signature. Hii ni baada ya mtu kupost anatoa ajira, alafu mdau mmoja akasema na unatymia Tecno X utawezaje kumlipa mshahara[emoji20] .

Conclusion: doctor wangu ana V8, pamoja na Nokia torch.


-callmeGhost
Kwani kuna tatizo?

.... you can't convince, then confuse....
 
Itabidi nihame maana hata kule GSM Arena inatoa specifications ya simu zote isipokuwa tecno au ni OG sana ndo maana inashindwa kuitambua mkuu?

brain is the beautiful part of the body.


Ha ha ha a wahi utoke huko!!! Screpa tupu!!
 
Ha ha ha a wahi utoke huko!!! Screpa tupu!!
Hahaha unaponda kampuni ya simu wakati wewe hata kuweka APN unapeleka kwa jirani [emoji125] [emoji125] [emoji125]

brain is the beautiful part of the body.
 
Hahaaaa kunawatu wamepanic humu.

Team tecno let's fill free.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app


Saanaa wanasahau kutumia tecno si fahari pia si dhambi... ni uwezo wao umeishia hapo
Duniani kuna madaraja tofauti hivyo hatuwezi wote kuwa sawa
 
Hivi mtu anafaidika nini kujifananisha na wengine. Hivi watu wananufaika vipi kwakutumia gharama kubwa kwa kitu kisichozalisha na matumizi yake ni basic tu.
 
Hakuna kitu kinachoitwa tecno worldwide
Acha kuzingua wewe mbona tecno zinasura nzurituu.
Karibu Afrika nzima tunatumia hizi na zina kila kitu, huko world wide ni wapi.



Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Acha kuzingua wewe mbona tecno zinasura nzurituu.
Karibu Afrika nzima tunatumia hizi na zina kila kitu, huko world wide ni wapi.



Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app


Afadhali wewe unauelewa kidogo na Tecno ambao unazungumzika.
Ulishawahi kujiuliza why Tecno ni Africa pekee??
Simu ni zaidi ya umbo la nje ndugu, niambie unatumia kwasababu zina umbo kubwa na bei rahisi nitakuelewa
 
Mimi situmii TECNO
f25763d6d006e78f12d7da7d2d8c0a29.jpg


Sent from my SAMSUNG-SM-G530AZ using JamiiForums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Huu uzi! Kwi kwi kwi kwi!

Sent from my iPhone SE 64GB Space Gray using JamiiForums app for mobile.
 
Back
Top Bottom