Members wengi wa JamiiForums ni watumiaji wa Tecno

Members wengi wa JamiiForums ni watumiaji wa Tecno

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]

Sent from my Samsung galaxy S6 edge using jamiiforums app
 
Dunia ina mambo toka kitambo

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
77e8f565f51842fb135311b791c3d89f.jpg


brain is the beautiful part of the body.
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8][emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Matekno sijawahi ona yakiuzwa ebay amazon au aliexpress kwasabb ni mabovu na mabomu

Sent from my Samsung galaxy- S7 edge using Jamiiforum mobile App
 
Sasa tatizo ni nini watu tunatofautiana uwezo na choices, Kuna wengine Wana uwezo kipesa mkubwa sana lakini wanatumia simu za kawaida Kuna wengine wako radhi wakope kununua simu ya bei mbaya, katika maisha watu wanatofautiana vipaumbele au priorities hili haliepukiki

Sent from my C6806 using JamiiForums mobile app
Sony hua haina kelele, thumbs up bro
 
JamiiForums naona mmeamua kuwachagulia watumiaji wenu signature automatically.

Tecno imeteka soko la Tanzania, maana kila mtu akipost, chini unaona sent from Tecno...[emoji3]

Ushauri kwa wanaotongoza humu na kusema wanatumia iPhone 7, na wanaponda hizi simu zetu; badilisheni signature. Hii ni baada ya mtu kupost anatoa ajira, alafu mdau mmoja akasema na unatymia Tecno X utawezaje kumlipa mshahara[emoji20] .

Conclusion: doctor wangu ana V8, pamoja na Nokia torch.


-callmeGhost
Hilo ni kwel hata mim nakuunga mkono
 
Waseme tu ndo uwezo ulipoishia.
yani simu brand ya tecno si simu ni janga. Halafu wanavyotoaga makubwa ili wazidi kuwashawishi[emoji23] [emoji23]
Yani bora mtu amiliki s3 kuliko tecno[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] rubii unanini lkn mbona watuhamisha mawazo tucwe huru na tecno wereva jmn,
 
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8][emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]

[emoji7][emoji7]rubi ananichokoza ujue!

brain is the beautiful part of the body.


Nawaona nawaonaaa.....
Ha haaaaa halafu wakimiliki wanaona wamemiliki simu za maana sana


Mwenzangu! ukubwa wa simu unawazuzua sana
Kioo kibovu
Kamera mbovu 13mp za ubabaifu lakini akikutumia hiyo picha wewe mwenye 8mp za ukweli unamshangaa
Quality mbovu
 
Back
Top Bottom