NdioooMmmmh! Shougaaa
Mkuu unachosema kinafanana na ukweli, Mimi hapa TECNO hata iwe kali vipi sitainunua. sanabu kubwa ni jinsi walivyoingia sokoni waliingia very local kwa hiyo waliharibu brand yao wenyewe...
Najua kuna wengi tu hawatumii kutokana na mtazamo kama wangu, Mbona itel hawana shida na progress yao ni kubwa kuliko ilivyo Tecno...
Kiongozi umemaliza,kila mtu anajikuna anapofikia,kama mimi kula yangu ni ya kuunga unga na nakaa kwenye chumba cha kupanga ni busara kutumia simu ya 1.2M ?,nitaendelea kutumia simu za laki moja mpaka laki mbili maana huo ndio uwezo wanguTecno ni mkombozi wetu
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Mimi ni mpenzi wa teknolojia mbalimbali.Labda niwaambie wale anti-tecno.
Tecno brand ni nzuri kwa basic function za simu ambazo ndio wengi wetu tunazitumia kila siku mf.kupiga,kutuma meseji na kuperuzi mitandao ya kijamii. Sidhani kama haya pekee yanahitaji mtu awe na iphone 7 ama Samsung S7!
Naongea nikiwa mmoja ya watu waliowahi kutumia hizo simu na sikukumbwa na tatizo lolote so far.
Kiukweli Tecno ziko njema in-terms of perfomance on the basics hasa katika utunzaji wake wa charge, ukizingatia kuwa kipindi wanaanza tu na smartphone zao makampuni mengi makubwa yalikuwa hayafui dafu katika hilo.
Kabla yao ilikuwa ili umalize siku lazma kuicharge android yako mara 3-5 kwa siku na hio ni katika heavy usage, tatizo likazidi hadi yakaletwa ma power bank yale. Mfano mzuri ni zile htc za mwanzo sense,desire na Galaxy s,ace, pocket n.k
Ila baada ya tecno kuja na N na P series tukazitumia hali ilikuwa tofauti. You would last up to 7 hours on a single charge on heavy usage. Kwa siku ukachaji mara 2 tu. Siku usipoichezea kabisa inakufikisha hadi masaa 12. That was somewhere 2009-2011.
So walishatengeneza legacy na sasa wameimarika maradufu katika hio sector unaweza pata up to 10+ hours on heavy usage katika matoleo yao mengi ukiachilia zile L series zinazokupa 12+ hours of heavy usage.
Ni baada ya muda sana ndio kampuni kubwa zikagutuka kuwa zinapigwa bao kisa battery efficiency mbovu. Nakumbuka 2013 ndio wengi waliamka kuwa a smartphone is also about battery power. Mapinduzi yakianzia kwa Sony, Lenovo, Motorola na brands nyengine zikafata tokea hapo ndio walau android zinazovumilia charge zikaanza kutufikia mtaani ila tecno walishakuwapo vyema zaidi.
So watu wanaosifia tecno musiwabeze, they are also satisfied customers ambao naamini portion yao walishatumia brand names kubwa za awali wakaona tofauti katika kukidhi nafsi zao.
Mi siwezi kuwa biased kuacha ku acknowledge ukweli. Elewa!!!
Kiongozi umemaliza,kila mtu anajikuna anapofikia,kama mimi kula yangu ni ya kuunga unga na nakaa kwenye chumba cha kupanga ni busara kutumia simu ya 1.2M ?,nitaendelea kutumia simu za laki moja mpaka laki mbili maana huo ndio uwezo wangu
ploudly ngosha [emoji243][emoji243][emoji243]
Ndiooo
Kaka umenifanya nimtemee Sain-Anna babe hapa, sio kwa kicheko hichi.
-callmeGhost
He he he he heeee! Acha niweke ugoro wangu vizuri hapa [emoji125][emoji125]
Sent from my ]SM-T705 using JamiiForums mobile app
Digital ipi zaidi?? Wakati Tecno c8 hapa ina run my aacount jf.Hutaki kuja huku digitali eeh
Mama yangu anaishi Australia mimi niko na mama yangu aliniambia nitafute mke wa kumlithi mali zake kwasababu kwetu tuko wawili mimi na dada yangu suzi yeye yuko marekani,nakuomba uingie Pm plsEmbu nipunguzie kidogoo
[emoji15] [emoji15] kwani ukimchomolea mtu ndiyo unapigwa bannedMbona wanakupiga bandika bandua? au kuna ulimchomolea
Uko sahihi kiasi Chake ila kwenye chaji hapo kuna utata
Chaji 90% hutegemea matumizi yako
Digital ipi zaidi?? Wakati Tecno c8 hapa ina run my aacount jf.
Sent from my Tecno wereva using jamiiforums mobile app
AmeinWatumiaji wa tecno waige mfano wako!
Kutumia tecno wala si dhambi ndio uwezo wetu tu. hakuna mtu asiyependa mambo mazuri bhana!
mtu anatumia y3music ya 99999 halafu anajitapa ati anapenda tecno sababu Samsung na Iphone ni mbaya si maajabu??
Believe me. Nilishanunua tecno brand new w4 about a year ago nikaitumia. Its effieciency in terms of power consumption just left me gazing.
Imagine toka saa 2 asubuhi nina browse huku na kule na nimeshea hotspot kwenye laptop pia. Kufikia saa 2 jioni ndio simu iko kwenye 10%.
Ukiangalia hapo ni almost 10+ hours of continous usage.
Chukulia samsung ya uwezo unaokaribiana na hio tecno likely galaxy J2 brand new halafu tuipigishe mzigo sawa uone kama on screen itatoboa hata masaa 6 tu.
Mama yangu anaishi Australia mimi niko na mama yangu aliniambia nitafute mke wa kumlithi mali zake kwasababu kwetu tuko wawili mimi na dada yangu suzi yeye yuko marekani,nakuomba uingie Pm pls
View attachment 540748
Swissme
HahahahahaKurithi mali za mama yako? Aliyekwambia kwetu tunadhiki na mali za urithi nani?