1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
human needs unlimited [emoji16] [emoji16]Phantom ndio simu bora na gharama zaidi kutoka tecno na ndio mnajivunia??
Okay inauzwa laki6.
Samsung kuna A series,
Jseries
Sseries
Note
Kote humo hamkai kwa hiyo phantom
Sasa huko tecno J7prime tunaiweka na Phantom?
S8 tunaiweka na Phantom?
A9 tunaiweka na Phantom?
Note 5 tunaiweka na Phantom?
Na zote hapo hakuna Chini ya laki 6
Kubaliana na hali tu ndugu
Usingizi wa Serena hotel unaraha yake si sawa na wa gongazote lodge
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app