Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,496
Hawajui simu ni ndani si nje[emoji23]Nawaona nawaonaaa.....
Mwenzangu! ukubwa wa simu unawazuzua sana
Kioo kibovu
Kamera mbovu 13mp za ubabaifu lakini akikutumia hiyo picha wewe mwenye 8mp za ukweli unamshangaa
Quality mbovu
Picha utasema imepakwa jivuu