harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,907
Tusipangieane cha kutumia
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah...kwl kabsaaaaWe mwenyewe hyo umeedit wacha isome real id ya simu yako.... Samsung haiandikwi hivyo ni code tuu
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
yupo maisha ya boom ndo yameisha u know kaka mtu nawe hutaki kumboost opportunity zikitokeaHivi mumeo Excel yuko wapi?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Hahaha mbn hanambii mi kakakeyupo maisha ya boom ndo yameisha u know kaka mtu nawe hutaki kumboost opportunity zikitokea
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nani huyoooJamaa wanavituko...
tatizo lao wanajifanyaja wamajuu sana
Kuna mzee humu anaact don Mello kamuumbua na N2 yake
Halafu wanaponda Samsung na Iphone et mbaya
Mtu una y3music ya 99999 unasema Samsung mbaya na uwezo wa kuinunua hauna kweli?
Hahaha mbn hanambii mi kakake
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
anaona soo nimeshakwambia kwa niabaHahaha mbn hanambii mi kakake
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Wawaache na TECNO zenu, kwa nn kuingiliana maishaWatu mmefikia kutukanana matusi mazito kisa tecno hahahaa kwani kuna ajabu gani kutumia tecno jamani?
Hebu acheni midomo michafu kama vyoo vya sokoni.
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Kiukweli hakuna mnasaba uwezo wa kimaisha na kutumia tecno..Wawaache na TECNO zenu, kwa nn kuingiliana maisha
Unanunua simu ya bei mbaya afu unaibiwa au unapoteza, ilinitokea mwaka jana mwezi wa nne nikiwa chuo Moro, nikaenda sabasaba pale Moro, wadau kwanini wasinibebee simu, niliumia sana, nikakata tamaa ya kununua simu ya bei gali.Si kwamba ndo uwezo ulipoishia? ?
Ulijuaje brands nyingine kama Samsung na apple hazikai na charge na hujawahi nunua?
HAYO MENGINE NI MANENO YA MKOSAJI[emoji23] [emoji23]
Hayo ni matokeo tu. Si sababu ya kukufanya usimiliki simu ya hadhiUnanunua simu ya bei mbaya afu unaibiwa au unapoteza, ilinitokea mwaka jana mwezi wa nne nikiwa chuo Moro, nikaenda sabasaba pale Moro, wadau kwanini wasinibebee simu, niliumia sana, nikakata tamaa ya kununua simu ya bei gali.
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Sent from my halotel 6+ using JamiiForums mobile appUkiona uzi hauchangiwi sana ujue wengi wao wanaona aibu kuumbuka na vitekno vyao ..[emoji3][emoji3]
Sent from my SM-A510F using JamiiForums mobile app
Nikushukuru sana rubView attachment 540941
Alitoka siku moja, njaa aliposikia,
Njaa aliposikia, Sungura nakuambia
Sikuile akaenda, Porini kutembelea,
Akayaona matunda, mtini yameenea,
Sungura akayapenda, mtini akasogea,
Mtini akasogea, Sungura nakuambia.
Sungurakarukaruka, lakini hakufikia,
Matunda hakuyashika, mikononi hakutia,
Hakika alisumbuka, nguvuze zikapungua,
Nguvuze zikapungua Sungura nakuambia.
Mtazame hapo juu Sungura amelegea,
Mtazame na miguu, matunda anarukia,
Atafanya sikukuu, matunda akifikia,
Matunda akifikia, Sungura nakuambia.
Karukatena karuka, matunda akarukia,
Mwisho Wave akachoka, kachoka hata mkia,
Penye mti akatoka, pembeni akasogea,
Pembeni akasogea, Sungura nakuambia.
Sizitakimbichi hizi Sungura akagumia,
Naona nafanya kazi, bila faida kujua,
Yakamtoka machozi matunda akalilia,
Matunda akalilia, Sungura nakuambia.
Siokama hakutaka, sasa nakupasulia,
Matunda aliyataka, ndiyo kisa akalia
Tunajua hakufika, alichoka kurukia,
Alichoka kurukia, Sungura nakuambia.
Kwa sababu wengi ni watanzania[emoji3] [emoji3]Na watumiaji wa jf wengi ni wenye hali za chini.
Na hayo ndio maisha halisi ya watanzania.
Sent from my E6883 using JamiiForums mobile app
Naona unakamtambo kangu[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Ukiona hvyo uwe makini na post za jf maana ni rahisi sana kukutrackJamiiForums naona mmeamua kuwachagulia watumiaji wenu signature automatically.
Tecno imeteka soko la Tanzania, maana kila mtu akipost, chini unaona sent from Tecno...[emoji3]
Ushauri kwa wanaotongoza humu na kusema wanatumia iPhone 7, na wanaponda hizi simu zetu; badilisheni signature. Hii ni baada ya mtu kupost anatoa ajira, alafu mdau mmoja akasema na unatymia Tecno X utawezaje kumlipa mshahara[emoji20] .
Conclusion: doctor wangu ana V8, pamoja na Nokia torch.
-callmeGhost