Members wenye majina mabaya JF taja unaowafahamu

Hayo ndio majina yetu ya asili na hayo unayoona ww ni mazuri tunaiga tu kwa wazungu na waarabu
Na mm jina LA kinyumbani naitwa "mwanduga Kimasa"
 
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nkolandoto hospital! Sitapasahau! Ndugu yangu alitibiwa kidonda sugu pale. Kidonda cha miaka mitatu kikapona chini ya mwezi. Heshima kwako mkuu. Nagalumba noi!
 
Nkolandoto hospital! Sitapasahau! Ndugu yangu alitibiwa kidonda sugu pale. Kidonda cha miaka mitatu kikapona chini ya mwezi. Heshima kwako mkuu. Nagalumba noi!
Karibu sana tunatibu mazagazaga yote hiiiii

Enzi hizo kina kiberiti, mwandu, magile na wengine ilikuwa ng'aaaa
 
NB: hapa ni chitchat [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji111]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…