Members wenye majina mabaya JF taja unaowafahamu

Members wenye majina mabaya JF taja unaowafahamu

eb tujibu bas
ngoja nikuelekeze tuu, kwa kabila la kwetu Malafyale ni Mfalme sawa eeeh. So kuna jamaa anaitwa Malafyale sasa kujitofautisha nikajiita Friday Malafyale. Ila kumbuka wote ni Malafyale difference is Friday sawa eeeh na mfalme kwa jamii ya kwetu hatujawahi kuwa na malafyale wa kike wote wa kiume so mimi ni Male hureee.... Mugonile ndaga fijooo utwa mwa kyela mweeeeh
 
ngoja nikuelekeze tuu, kwa kabila la kwetu Malafyale ni Mfalme sawa eeeh. So kuna jamaa anaitwa Malafyale sasa kujitofautisha nikajiita Friday Malafyale. Ila kumbuka wote ni Malafyale difference is Friday sawa eeeh na mfalme kwa jamii ya kwetu hatujawahi kuwa na malafyale wa kike wote wa kiume so mimi ni Male hureee.... Mugonile ndaga fijooo utwa mwa kyela mweeeeh
tununu malafyale nimekuelewa
 
Aisee Jamii Forum kuna watu wenye majina mabaya (Fake ID), yaani ukiangalia jina ngumu kama mizizi ya dawa za kienyeji. Mengine majina yana kiima na kiarifu.

>> KABHILABHIGHAMBO
>> CHIKIRA MTABARI
>> Malafyale
>> Mndali ndanyelakakomu
>> Otorong'ong'o
>> Bujibuji
>> nanyupu
<>> Numbisa
Yaani majina mengine bwana tabu tupu!!
Hebu ongezea yakwako unayoyafahamu.........
NB. Hapa ni Chitchat . Povu mwisho la 50
Daaaa hilo la kwanza na la nne nmejitahidi kuyasoma ila limenipa taabu
 
kuna mtu humu anaitwa Ibilisi
Ibilisi?! Atakuwa mtu wa Tanga huyo maana Ibilisi ni a.k.a ya Shetani na hilo ni jina la kisambaa
Shemtoi
Shehoza
Shebarua
Shetani
Shekiondo
Shelukindo
Shekoloa
Shemtoro
woooote hawa 'wagosi', wasambaa wake zao.
 
Ibilisi?! Atakuwa mtu wa Tanga huyo maana Ibilisi ni a.k.a ya Shetani na hilo ni jina la kisambaa
Shemtoi
Shehoza
Shebarua
Shetani
Shekiondo
Shelukindo
Shekoloa
Shemtoro
woooote hawa 'wagosi', wasambaa wake zao.
Ila mkuu nawe jina lako hill mmmh
 
Back
Top Bottom