Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha huwa nacheka sana nikiona...Smart anaitwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Noma sana yule hataki mambo yawe mengiHahaha huwa nacheka sana nikiona...
Utasikia ngja waje kukupa muongozo
Jf kuna burudani sanaNoma sana yule hataki mambo yawe mengi
Mchumba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee😀Wakuu salaam.
Baada ya salamu naomba kusema kwamba maisha yana Mambo mengi,, wakati mwingine unaweza fanya mambo kinyume kabisa na Tabia yako.
Ipo hivi,. Miaka michache iliyopita kipindi cha utawala wa JPM Mambo yaliniwia ugum Sana , yaani moja ilikuwa haikai wala mbili haisomeki.
Siku moja nilijikuta katika hali ngum zaidi kipesa nikawa sina namna nyingine bali kutumia mbinu ya ziada.
Nikapata wazo Kwa kuwa Watanzania wengi tunapenda Sana ngono basi naweza nikaitumia hii kama fursa.
Nikaanzisha Thread kwamba Mimi nipo Dar na kazi yangu ni udalali WA madem, hivyo Kama unahitaji dem mkali na mbichi njoo PM lakin malipo Kwanza then nakuunganisha nae. PM ikafurika vijana wa hovyo
Ukweli ni kwamba nilikuwa sijawahi hata kufika Dar nilikuwa mkoani Chaka Ila nilichokuwa na kifanya ni kuwa ukija PM na ukikamilisha malipo Mimi nakutumia namba ya Malaya wa Hitwe uhangaike naye.
Hela kweli nilipata Ila najiona sikuwa muungwana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna yule jamaa anasema "natumia mleta mada ulipata muongozo"
Nahisi kale kameseji huwa amekatunza kwenye draft ni mwendo wa kubandua na kubandika[emoji23][emoji23]Kuna yule jamaa anasema "natumia mleta mada ulipata muongozo"
Liongo wewe,uzi uko kwenye profile yakoSidhani Kama naweza kupata link maana hata jukwaa husika nililopost halipo tena (jukwaa la Mambo ya kikubwa)