Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 953
- 3,318
Humu hata mimi nimewapiga sana watu kwa account yangu fulani ya kike, watu wamenitumia sana hela hizi elfu 10 10 za kutosha, humu wajinga wengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja waje kukupa muongozo 😅😅Nahisi kale kameseji huwa amekatunza kwenye draft ni mwendo wa kubandua na kubandika[emoji23][emoji23]
Watu hawaamin lakin ukweli upo hivyo na hata ikitokea tena mtu anatumia mbinu hii hii bado hela atapata.Upo sahihi. Hata kama sio wewe ila ujumbe umefika. Humu JF kuna akaunti nyingi zenye ID za kike ila ukweli ni midume mbaya zaidi wengine ni mashoga.
Ila kuna wanaume wajinga wanashoboka kwenda inbox kuomba namba na kuhonga pasipo kujua anamtumia hela tapeli.