Men beaten by wives in TZ

Men beaten by wives in TZ

Hehehe! Sikua nakumbuka tunaye Mkuria bwana Nivlark
Kuna huyu mrembo Mtanzania anayeitwa Sky Eclat naona anawakubali sana nyie kwa jinsi hambebwibebwi kama sisi wanaume wa Nyeri. Anaomba tuanze zoezi la kubadilishana wake zetu na nyie labda watanyooka wakija huko.
That's forbidden in African culture, Sky can't be exchanged for anything LoL
 
Sijaelewa issue yenu nini, maana mumesema hatuna nguvu za kiume eti ndio sababu tunapanda punda na kuacha wake zetu, mara tunanyimwa na wake zetu.
Nimewaambia mzuka wa kumpanda punda ina maana una nguvu za kiajabu, sio mtu wa kawaida. Ama umesahau wake zenu kutokea Rombo walikua wanapanga foleni kuja Kenya kupokea huduma zetu.
Kupanda punda sio nguvu za kiume bali nguvu za kimapepo....

Wanawake wa Rombo walikuja kuwafanyia kile Lucy Kibaki alimfanyia Mwai Kibaki...

Kama unabisha nenda Rombo uone idadi ya vibarua wa kabila la "wakamba" wanavyofua vyupi vya wanaume wa Rombo. Wanashikishwa ukuta huwezi amini...
 
Tunadundwa kila siku sijaona mwanaume aliyehukumiwa. Mpigwe tu na nyie. Yaani akitokea mwanamama akaweza kumdunda mume huwa nafurahi sana.
Sa tukidundwa, tukawa walemavu, utamu utaupata wapi?
 
Back
Top Bottom