Men Code

Men Code

Hiz ni code zitazokufanya usifeli popote

1. Hakikisha Unapiga pipe kwelikweli
Kama uko 18-50 jitahidi uwe unapga pipe au uwe na mahusiano valid. Kama hupigi pipe Heshima sahau utaonekana ni pisi kali (Hapa si lazima uwe malaya)

2. Jitahidi miziki yako iwe Hip pop au nyimbo za jeshi
Achana na amapiano,sijui kina zuchu au zile nyimbo za taratibu hzi zote ni 🚩

3. Jitahidi usije kulia Hadharani hata kama Umeumia vipi
Men do not cry, nyie wa mahisia ni 🚩
Sijui umemkumbuka marehemu mama yako unalia we n 🚩
Epusha mazoea ya kuonesha hisia too much

4. Angalia movie za kijeshi na mieleka
Usipende movie za kikorea ni 🚩
Wale wa jua kali🚩
mwanaume unafuatilia sultan🚩

5. Usioneshe affection kwa mwanaume mwenzio hata kama ni kaka au baba yako
  • Sijui i love you dady🚩 mwanaume anasema baba nimekubali
  • Sijui i love mom🚩
Mara i miss you kwa mwanaume mwemzio hata kam n siblings🚩
Text za mambo🚩
Sijui una body zuri🚩

6. Usipige Nyeto,sijui video sex,wala kuangalia porn au picha za utupu
Hapa unaharibu ubongo na nguvu za kiume hivo unakua ume vunja code no 1 ( ya Mwanaupe piga pipe)

7. Tafuta Hela zako/ Usipokee cha bure kama hujafanya kazu au kumsaidia mtu.Hata bia ndio mwanzo wa kupigwa pipe kupenda mtunguo
Isitoshe kusema wewe ni moja ya watu wachache waliobaki wenye akili
 
Hizi ni boys code. 18-30.

Mwanaume mtu mzima hayo mambo ya hiphop, movie saa ngapi? Umri unavyoenda unajikuta muda mwingi ni Familia, kazi/biashara, bar au ibada. Ukihama hapo ni vikao mara Saccos, mjumbe sijui wa nini, vikao vya kamati n.k

Mambo ya shoo za uhakika pia ni mara chache na sio priority. Ukiita mama ni romance kimtindo kisha wawawawawa, zoezi la 40min pamoja na romance umemaliza anaanza kukuambia shida zake huku anapapasa kifua, utamuita tena ukimuhitaji.
 
Hiz ni code zitazokufanya usifeli popote

1. Hakikisha Unapiga pipe kwelikweli
Kama uko 18-50 jitahidi uwe unapga pipe au uwe na mahusiano valid. Kama hupigi pipe Heshima sahau utaonekana ni pisi kali (Hapa si lazima uwe malaya)

2. Jitahidi miziki yako iwe Hip pop au nyimbo za jeshi
Achana na amapiano,sijui kina zuchu au zile nyimbo za taratibu hzi zote ni 🚩

3. Jitahidi usije kulia Hadharani hata kama Umeumia vipi
Men do not cry, nyie wa mahisia ni 🚩
Sijui umemkumbuka marehemu mama yako unalia we n 🚩
Epusha mazoea ya kuonesha hisia too much

4. Angalia movie za kijeshi na mieleka
Usipende movie za kikorea ni 🚩
Wale wa jua kali🚩
mwanaume unafuatilia sultan🚩

5. Usioneshe affection kwa mwanaume mwenzio hata kama ni kaka au baba yako
  • Sijui i love you dady🚩 mwanaume anasema baba nimekubali
  • Sijui i love mom🚩
Mara i miss you kwa mwanaume mwemzio hata kam n siblings🚩
Text za mambo🚩
Sijui una body zuri🚩

6. Usipige Nyeto,sijui video sex,wala kuangalia porn au picha za utupu
Hapa unaharibu ubongo na nguvu za kiume hivo unakua ume vunja code no 1 ( ya Mwanaupe piga pipe)

7. Tafuta Hela zako/ Usipokee cha bure kama hujafanya kazu au kumsaidia mtu.Hata bia ndio mwanzo wa kupigwa pipe kupenda mtunguo
Kwa Mara ya kwanza Leo nimeona Uzi wenye maana kwenye ili jukwaa

Ongeza mwanaume usiendeshe gari ya mwanaume mwenzio kopa hata gari ila iwe yako tu!!

Pia mwanaume usitongoze demu we beba tu ondoka naye kama hataki pita kule

Pia mwanaume amka mapema sepa home rudi muda umeenda sana yaani usiku sana uwe na Siku moja tu kwa wiki ya kuwaona watoto wako na kuongea nao hata lisaa then potea.

ndo maisha yangu hayo.
 
mwanaume piga pipe
20240225_102605.jpg
 
Ndio maana wanaume tunakufa mapema na nyumba tunawaachia wanawake.
 
Back
Top Bottom