It has no connection with perpetuating the misery from marrying single mothers........ unless you ur marrying for sank of helping or charity but singo mathers No No
Mkuu hizo ni lugha zilizokuja na meli...yote ina maana moja! I couldn't agree more ina maanisha i completely agree with you. Fungua vitabu vyako vya lugha ya malikia
Mi nikimiss mkuyenge nakuwa kama sina shida na huduma yoyote zaidi ya hilo....nikishatetemeka hapo ndo nakumbuka kumbe natakiwa nipewe na huduma za miamala
Umefunguka aiseee...yes ipo hivyo kwa singo maza wenye uwezo wa kiuchumi huwa wanahitaji watu wa kuwakuna tu na suala la pesa huwa wanatoa wao . Ila wengi ni hawa singo mazaz wa mizinga