Men Will Always Be Men...

Men Will Always Be Men...

Tatizo nikija nikaanza kuonyesha ishara utasema waziri mkuu anakutilia wivu.
Huku kimoyo moyo nasema, " lote lako hilo?"

Kwa hiyo ntapitia nikiwa mwenyewe. Fee ntalipia tu.

Ukuje tuu na waziri wako ili niuze na juice yake pia...

Halafu kesho ndo ukuje uchukue juice ya take away ila pia ukuje na rafiki yako ambaye ana gelofrendi ili nae akichukua juice amchukulie na waziri wake....

Cash in...

Juice out....

Tikee..!
 
Ukuje tuu na waziri wako ili niuze na juice yake pia...

Halafu kesho ndo ukuje uchukue juice ya take away ila pia ukuje na rafiki yako ambaye ana gelofrendi ili nae akichukua juice amchukulie na waziri wake....

Cash in...

Juice out....

Tikee..!

Ntakuja na mchungaji
 
Shiindwaaaaa....!!!

Ama laaa....

Ntaita wizara zote zije kufanyiwa maombi na mchungaji....😅
Ila sharti lazima wanunue juice ndio wapate misa! Kama kikombe cha babu
 
Ndo maana nanihiii.....

Kabisa weweee....

Ahsante! We andaa juice ntakupitishia na yale mambo kesho Inshallah.
Ya mchungaji na waziri mkuu ntapambana nayo mwenyewe, I will always be a man of course.
 
Mwl.RCT naona unataka kuniumbua...thread inasema men will always be men. Sasa si ndio nikatembea humo humo mkuu? Hayo mambo ya grammar yaweke pembeni kwanza.

Twende tukagonge juice kijiweni kwa Kasie
 
Ahsante! We andaa juice ntakupitishia na yale mambo kesho Inshallah.
Ya mchungaji na waziri mkuu ntapambana nayo mwenyewe, I will always be a man of course.

Hiyo kesho iwe leo au kesho iwe kesho kutwa.....
Itakuwa ewaaaaa.....😋😋😋
 
Back
Top Bottom