Mende anaogopesha jamani, acha tu...

Mende na kunguni ni wadudu ambao hata kuwaona spendi, ukitaka siku yangu iende vibaya bas nionyeshe mende na kunguni...hao wadudu Wana sura mbaya achilia mbali kutia kinyaa
mi nikisema naonekana mwanaume wa dar

huo ndio ukweli,hivi vidudu vinatisha

na ni vichafu in nature,stakagi hata vinipitie karibu
 
Bwana vichekesho
 
Kwa uoga ulio nao unatakiwa kuwa kaburin ukiwa umeisha kufa, hata Mwenyezi Mungu anachukia sana watu waoga
 
Kwa uoga ulio nao unatakiwa kuwa kaburin ukiwa umeisha kufa, hata Mwenyezi Mungu anachukia sana watu waoga
ila mimi Mungu hanichukii,anaelewa situation ilonkuta pale toilet

anajua ujasiri wangu vizuri tu
 
Miaka ya nyuma nikiwa kinda mmoja wa baba zangu wadogo alikuwa muoga sana wa mende kiasi alikuwa anatoka jasho na moyo unaenda mbio mende akikatiza,wazee wakakaa chini wakamuoza mke sijui ule uoga wa mende ulienda wapi!
 
Miaka ya nyuma nikiwa kinda mmoja wa baba zangu wadogo alikuwa muoga sana wa mende kiasi alikuwa anatoka jasho na moyo unaenda mbio mende akikatiza,wazee wakakaa chini wakamuoza mke sijui ule uoga wa mende ulienda wapi!
anao hadi kesho

hawa viumbe sio kwamba nawaogopa ila ni sababu ni wachafu

Hapo tu ndio wanaponichefua
 
Lol! Nimechekaje πŸ˜€ Mi nyoka tu simuogopi, kama haruki naweza muua pekeyangu sembuse mende.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…