Leo mida flani nilikua kazini ghafla nikaskia haja yani hadi nikahisi naweza Jinyea leo
Nikakimbia choo cha ofisini RRRRR nasukuma ndani mtu akakohoa
Nikasema leo ndio leo Nafwaaa
Haya toka speeeed sana hadi nnje vuka barabara kuna LODGE opposite nikaenda straight
Maana najua vyoo vya hapo vilipo
Kufika sukuma mlango Umefungwa shika kitasa kigumu
Mdada mmoja akaniambia "Mlango umefungwa kaka" kachukue funguo kaunta
Naenda kaunta sikuti mtu aiseeeeeeeeeee (acheni kabisa bandugu)
Kimbia kimbia zile nikaponea Choo cha BAR moja hivi ipo kule mbele mbele
Kadri ninavyokaribia chooni ndio huku nyuma mzigo kama unasukumwa uje mzima mzima
Nashukuru mungu kufika eneo la tukio (chooni) nikakuta pako wazi nikazama funga mlango chuchumaaa (nikawa napata burdaniiiiii)
Nikiwa kwenye starehe yangu si akatokea mshua
MENDE sijui alitokea wapi nikamsikia anapanda kwenye vidole daaaah
Si unajua nilivaa sendo Nikaskia kitu kinapita kwenye vidole vya miguuu,Kucheki hivi Kiruuuuu Jamaaa bonge la MENDEEE
asee niliruka juuuu nikasema kama noma na iwe noma Huyu mende sio wa kawaida
Basi nkachukua mop nikampga akakufa,nikarudi kuburudika
Mende acheni jamani...mwaka 2019 nadhani leo ndio namuona mende tangu mwaka uanze
anatisha kabisa,siwacheki tena wale wakuitwa Wanaume wa DAR
Halafu utasikia mtu anasema hawa wadudu wanaliwa watamuuuu...AAAAAH nife njaaa tu kwakweli
View attachment 1218220