Mende anaogopesha jamani, acha tu...

Mende anaogopesha jamani, acha tu...

Wale mnaojitia amuogopi mende

Hv umelala mara ukashtuka usiku ukaona mende anatambaa ndani ya blanketi

Hv hautojikuta kwenye swtch kuwasha taa kuangalia ni jambo gani?
 
Mkuu hata mimi mwanaume unajua
Uliruka hivi??
tapatalk_1555181416417.jpeg
 
Stori yako inafikirisha sana yaani.........

1. Haja kubwa (Inahusisha sehemu ya haja kubwa)
2. Lodge......
3. Bar ( inahusisha vilevi)
4. Mende ( Kifo cha mende)
5. Unakimbia unasikia mzigo unasukuma nyuma sehemu ya haja kubwa.......
6. Ukiwa kwenye starehe yako (Kusukuma kitu kuhusisha sehemu ya haja kubwa)

Anyways, ukachukua mop ukampiga akakufa ukarudi kwenye starehe yako..................
 
Stori yako inafikirisha sana yaani.........

1. Haja kubwa (Inahusisha sehemu ya haja kubwa)
2. Lodge......
3. Bar ( inahusisha vilevi)
4. Mende ( Kifo cha mende)
5. Unakimbia unasikia mzigo unasukuwa nyuma sehemu ya haja kubwa.......
6. Ukiwa kwenye starehe yako (Kusukuma kitu kuhusisha sehemu ya haja kubwa)

Anyways, ukachukua mop ukampiga akakufa ukarudi kwenye starehe yako..................
we na wewe
 
Leo mida flani nilikua kazini ghafla nikaskia haja yani hadi nikahisi naweza Jinyea leo

Nikakimbia choo cha ofisini RRRRR nasukuma ndani mtu akakohoa

Nikasema leo ndio leo Nafwaaa

Haya toka speeeed sana hadi nnje vuka barabara kuna LODGE opposite nikaenda straight

Maana najua vyoo vya hapo vilipo

Kufika sukuma mlango Umefungwa shika kitasa kigumu

Mdada mmoja akaniambia "Mlango umefungwa kaka" kachukue funguo kaunta

Naenda kaunta sikuti mtu aiseeeeeeeeeee (acheni kabisa bandugu)

Kimbia kimbia zile nikaponea Choo cha BAR moja hivi ipo kule mbele mbele

Kadri ninavyokaribia chooni ndio huku nyuma mzigo kama unasukumwa uje mzima mzima

Nashukuru mungu kufika eneo la tukio (chooni) nikakuta pako wazi nikazama funga mlango chuchumaaa (nikawa napata burdaniiiiii)

Nikiwa kwenye starehe yangu si akatokea mshua MENDE sijui alitokea wapi nikamsikia anapanda kwenye vidole daaaah

Si unajua nilivaa sendo Nikaskia kitu kinapita kwenye vidole vya miguuu,Kucheki hivi Kiruuuuu Jamaaa bonge la MENDEEE

asee niliruka juuuu nikasema kama noma na iwe noma Huyu mende sio wa kawaida

Basi nkachukua mop nikampga akakufa,nikarudi kuburudika

Mende acheni jamani...mwaka 2019 nadhani leo ndio namuona mende tangu mwaka uanze

anatisha kabisa,siwacheki tena wale wakuitwa Wanaume wa DAR

Halafu utasikia mtu anasema hawa wadudu wanaliwa watamuuuu...AAAAAH nife njaaa tu kwakweli
View attachment 1218220
Mende na kunguni ni wadudu ambao hata kuwaona spendi, ukitaka siku yangu iende vibaya bas nionyeshe mende na kunguni...hao wadudu Wana sura mbaya achilia mbali kutia kinyaa
 
Back
Top Bottom