Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
Kuna vile vimjusi vyeupe.
Halooo huwa najisikia hadi kichefuchefu.
Hahah mkuu, hao mimi nikiwaona nafurahi sana wana faida sana kazi yao ni kula mbu, mende na wadudu wengine wadogo ndani ya nyumba so hana shida yeyote zaidi ya faida tu.