serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,340
- 4,734
Wadau leo namzungumzia huyu mtu anaitwa Babu Tale, amekuwa akijichukulia sifa kwa madai kwamba ndo anayewapeleka artists kwenye next lever na kwamba ndo sababu za almasi kuwa juu kwa jitihada za huyu.
Haya kwanza nachoshindwa kuelewa huyu Diamond kampeleka next leve alikuwa tayari yuko juu au amemtoa kwenye mbagala? Maana alikuwa wapi huyu mtu?
Na amekuwa akijichukulia sifa kwamba ndiye aliyemweka dogo juu, how? nahisi hii ni project ya wawingu kumweka huyu mtu sawa akiwafisadi wasanii kwa niaba.
Jamaa nachojua mimi mazense haijawai kupata mafaniniko yoyote ya kujiweka kwenye nafasi anayojiweka, jamaa ana deal kiswahili swahili sana, jamaa kajiweka in a way kwamba bila yeye msanii hatoki nyimbo zake hazipigwi na huyu mtu akisema diamond perfome basi dogo hafanyi kitu kwa style hizi sanaa yetu itafika kweli?
kuli dauni kwanza... Swaumu nini?