Meneja Babu Tale!

n kweli tale anawasaidia sana wasanii anao wa manage,lakin wakat huohuo anaharibu Bongofleva..
ILI GAME YA BONGO IENDELEE INABIDI WATU KAMA TALE WASIWEPO..

Mkuu waoneshe au toa ufafanuzi jinsi Tale anavyo haribu hiyo bongofleva
 
Ingawa simpendi ruge lkn nikiri kwamba ruge Ni most smartest man in entertainment industry in Tanzania hili halina ubishi , ruge anajua wasanii wengi wa bongo hamna kitu kichwani thy why anawaendesha km ana rimoti ,cheki alivyodili na ule ugomvi WA vinega coz alijua sugu ndyo most smartest in the crew tht y akaamua kudil nae coz aljua akimalizana na sugu automatically vinega wengine watakosa nguvu waliyokuwanayo mwanzo.(na Hilo alifanikiwa kwa kiasi kikubwa sana rejea mapacha walivyoenda kulia Lia kwa ruge) Anaiendesha game ya bongo flava km IPO sebuleni kwake anaamua nan ashine this time nani abaniwe ....cha ajab wasanii hawataki kushuhulisha akil zao wamebak kulia Lia Tu ...nilipenda jide alivyouhandle ugomvi wake na clouds na still Ana survive ivo ndyo wasanii wabapaswa kuwa na cyo kuwalilia wakina ruge
 

yani ninavyosoma hivi ndo nazid kumchukia yule baba junior japo chuki zangu hazimuathiri but simpendi ruge jamani na mbwa wake woteee....!
 

Mkuu ni kweli Mimi pia sijawahi kiwa fan wa Ruge lakini lazima tukubali tu huyu mtu ni smart kichwani ana kitu flani ambacho hakipo kwa wamiliki/waendeshaji wa baadhi ya Radio
 
Ni NEXT LEVEL sio iyo yako!
 
yani ninavyosoma hivi ndo nazid kumchukia yule baba junior japo chuki zangu hazimuathiri but simpendi ruge jamani na mbwa wake woteee....!

Yaani sijui ni kwa nini mtu yoyote anyeikandamiza hii REDIO NA WATU WAKE WAKATI akilini mwake anajua kwamba wamejaribu wameweza na wanasonga mbele namuona kama LE mbululaaaaaz alijisemea LE BILIONEA LE BIG SHOW!
 
unachekesha sana malezo yakotu yanaonyesha unavyomkubari huwezimchukia mtu afu unamwongeleaongelea ndo zile simpendi yule kaka halafu kila siku lazima ujue anafanya nini na yupo wapi that is foolish!
 
Yaani sijui ni kwa nini mtu yoyote anyeikandamiza hii REDIO NA WATU WAKE WAKATI akilini mwake anajua kwamba wamejaribu wameweza na wanasonga mbele namuona kama LE mbululaaaaaz alijisemea LE BILIONEA LE BIG SHOW!

hata nikiwa mbululaa siipendi na simpendi huo ndo msimamo wangu so whatever name u call me i hate them upo apooo...?!!!
 
Diamond Yuko chini clouds media babu tale said fella Ni mameneja vivuli
 
Wakuu nawaibieni siri meneja WA diamond ni ruge hyo babu tale na said fella ni botion tu...hebu angalien mambo anayoyafanya diamond kwa akili ya kawaida utagundua Kuna mtu ambaye Yuko very smart nyuma yake....na cyo bogus km babu tale na fella

Finally,someone with sense speaks out..
Hatimaye mtu mwenye kujielewa kaongea la maama babu talle na ubunifu wapi wapi..
Uswahili sawa..santeee kwa hii comment
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
 
Diamond Yuko chini clouds media babu tale said fella Ni mameneja vivuli

Santeeeee!kumbe kuna watu humu wanajielewa eehee..dah haya ngoja nichukue maji nitazame hii movie..Asante kwa comment iliyoshiba..machache umeongea ujumbe Umejitosheleza👏👏👏👏👏👏👏👏👏
 
unachekesha sana malezo yakotu yanaonyesha unavyomkubari huwezimchukia mtu afu unamwongeleaongelea ndo zile simpendi yule kaka halafu kila siku lazima ujue anafanya nini na yupo wapi that is foolish!
Acheni uvilaza jamaa hapo juu kaongea FACtS aka ugly truth...Ruge is a smart ass guy..he is the brain behind Diamond and all ya successful endorsements diamond has signed..na kwasababu wasanii wetu 98%Kayumba basi bwana ruge anatumia vizuri shule yake aliyoyipiga usa na kuwaibia hawa kayumbaz
 
Its called typing error u +÷÷%€¥+¥+¥₩++
Mxiii+₩÷€×¥₩
 

Dah well said..wewe lazima utakuwa shule imekaa njema na unajielewa..maelezo yako hayana fitna ni ukweli mtupu...👍👍👍☝☝☝..hamna anayefurahia matendo ya hawa kina Ruge sema ndo hivyo nshomile is creative..
 

Master jay anamnanage Shaa kimapenzi.. kimziki alikuwa anazuga tu raia yule ndio maana sasa wako free kujitangaza wameshazuga vya kutosha.
 
Watu wengi watajiuliza kwanini wasanii wengi WA wanatka kusikika clouds??? Jibu Ni very simple kwmba clouds fm Ni mainstream ya bongo flava hapa nchini na hii monopoly waliitengeneza kwa juhud Sana back then, at the time radio nyingine walikuwa wamelala usingizi WA pono wakifanya kazi kwa mazoea bila ubunifu at least ea radio wanaonyesha upinzani ,redio km magic fm watangazaji wake wanakula Sana rushwa kutwa kupiga nyimbo mbovu ,kwa staili hii watasubiri Sana kwa ea radio na clouds ,...redio km times na rfa wanajitahid Sana ,msanii anaweza kupitia huko akashine pia ingawa cyo kwa kiasi lkn angalau
 
Kipaji bila management nzuri ni sawa na bure. Kama Diamond mwenyewe anashukuru management ya babu tale na mkubwa fella kwanini wewe uje hapa kuandika kwa hisia kama vile ulinyimwa kitu fulani na huyo babu tale

mkuu cyo management ya babu tale na fela sema management ya ruge ,hawa akina fela Ni puppet tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…