Meneja Babu Tale!


mainstream ya muziki bongo omeshikiliwa na clouds madia sema ukionesha kipsji wenyewe watakutafuta....samir angekuwa na meneja mzuri sa IV angekuwa na hela nyingi Sana maana alichelewa kuingia mainstream lkn still alikuwa anashine na hichi ndyo ninachokizungumzia kwa wasanii WA bongoflava wasilie silie kutengwa waoneshe uwezo na cyo kujipendekeza kwa ruge kutia Tia huruma wamuige ay ambaye ameona mainstream ya bongo mpk uwalilie watu kaamua kuinvest nje ,... nowdays hawa wanaojiita wadau wanamtafuta wenyewe
 
Acha ujinga

Kama hujui ni bora ukae kimya,angalia hapo chini


Sasa kolabo inayonukia sasa hivi ni ya staa wa muziki kutoka Marekani ambae ni Trey Songz ambae taarifa za ndani millardayo.com ilizopata ni kwamba kama kolabo hii ikifanikiwa basi Rais Kikwete atakua ameshiriki kuiunganisha kwa asilimia zaidi ya 90.
Kwenye hii picha President ameonekana akiwa karibu sana na meneja wa Trey Songz na waliongea kwa kirefu, kwa sababu President siku zote anasupport sana Wasanii wake wa Tanzania.
Baada ya Diamond kukutana na Rais kwenye hicho kikao na meneja wa Trey Songz, Diamond alitumia time yake kuandika ya moyoni >>> wapi Utapata Rais ambaye atakubali kutoa muda wake wa thamani ambao unatafutwa karibu na kila mtu Duniani.. akautumia kukusaidia kukukutanisha na kukuconnect na mdau mkubwa duniani katika tasnia uliyopo ili kuhakikisha tu unafikia malengo na ndoto ya kazi zako…. Dah! Asante sana Mh Rais, Mwenyez Mungu akuzidishie na kukusimamia katika uongozi wako na siku zote za Maisha yako‘
 

Winnie ni next level
 
Last edited by a moderator:

Nguvu zenyewe anazo au makeke tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…