Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Ofa za usajili zilizokuja mezani za Kibu Denis kutoka nje ya Tanzania ni kutoka Misri, Sweden 🇸🇪 na Norway. Amethibitisha meneja wa mchezaji huyo, Carlos Mastermind.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio walio mpendea hiyo,, je kuna tatizo Dr?Anajambisha tu huyo kwa mpira gani? Kutumia miguvu bila akili?
Hadi sasa Andre Onana yuko bora kwenye namba kuliko alivyokuwa De Gea kwa msimu. Ukipenda kuweka sana wachezaji kwenye namba ili uwaone bora, unaweza usiujue mpira sometimes.Hakuna mchezaji hapo, namba za uwanjani hazimbebi kutokana na nafasi anayocheza
Umeshasema Onana yupo bora msimu huu hiyo haina ubishi weka na ya kibu.Hadi sasa Andre Onana yuko bora kwenye namba kuliko alivyokuwa De Gea kwa msimu. Ukipenda kuweka sana wachezaji kwenye namba ili uwaone bora, unaweza usiujue mpira sometimes.
Ova
Hujaelewa, rudia kusoma.Umeshasema onana yupo bora msimu huu hiyo haina ubishi weka na ya kibu.
Kibu ni mchezaji mwenye mapungufu mengi labda kama wanataka kukulu kakakala zakeHadi sasa Andre Onana yuko bora kwenye namba kuliko alivyokuwa De Gea kwa msimu. Ukipenda kuweka sana wachezaji kwenye namba ili uwaone bora, unaweza usiujue mpira sometimes.
Ova
KwambaZamu yenu makolo ! Hakuna mkate mgumu mbele ya chai ! Enzi za mi simba damdam kwishnei !
Anaenda Azam.Aende Sweden
KokoteAnaenda Azam.