Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awap
Hapana,,mambo ya kurongwa ndo Yana muathiri lakini kunamwalimu akimujulia kumtumia anatoa matokeo,mbona robatino alikiwa anapata matokeoKibu ni mchezaji mwenye mapungufu mengi labda kama wanataka kukulu kakakala zake
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Jina lenyewe tu la meneja ...linasadifu kwamba limekaa kimchongo!Ofa za usajili zilizokuja mezani za Kibu Denis kutoka nje ya Tanzania ni kutoka Misri, Sweden 🇸🇪 na Norway. Amethibitisha meneja wa mchezaji huyo, Carlos Mastermind.
View attachment 2979313
Sawa.Kibu ni mchezaji mwenye mapungufu mengi labda kama wanataka kukulu kakakala zake
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Na Heri Mzozo ni Meneja wa Kapombe na Zimbwe.Jina lenyewe tu la meneja ...linasadifu kwamba limekaa kimchongo!
Carlos "Mastermind"!.... Sidhani kama nna la kuongezea hapo!
Wasiojua mpira huuchambua kwa takwimu-mourinhoHadi sasa Andre Onana yuko bora kwenye namba kuliko alivyokuwa De Gea kwa msimu. Ukipenda kuweka sana wachezaji kwenye namba ili uwaone bora, unaweza usiujue mpira sometimes.
Ova
Ni uchawi wa Rohoni tu huoAnajambisha tu huyo kwa mpira gani? Kutumia miguvu bila akili?
Yuko sahihi sana, maana wasiojua mpira ndiyo huwa na mambo ya kukariri takwimu, siyo kiwango cha uchezaji.Wasiojua mpira huuchambua kwa takwimu-mourinho
Tulia, nenda wewe basi wakuchukueAnajambisha tu huyo kwa mpira gani? Kutumia miguvu bila akili?
[emoji106]Kibu anajituma, kibu anafundishika, kibu anabadilika, lazima tu apendwe.
hivi kweli kama wengi wanavyosema, kibu atapata namba yanga kweli? level yake imefikia kiwango cha kucheza yanga?Ofa za usajili zilizokuja mezani za Kibu Denis kutoka nje ya Tanzania ni kutoka Misri, Sweden 🇸🇪 na Norway. Amethibitisha meneja wa mchezaji huyo, Carlos Mastermind.
View attachment 2979313
kibu apate ofa ulaya? labda ulaya ya nhalangaOfa za usajili zilizokuja mezani za Kibu Denis kutoka nje ya Tanzania ni kutoka Misri, Sweden [emoji1236] na Norway. Amethibitisha meneja wa mchezaji huyo, Carlos Mastermind.
View attachment 2979313