Meneja: Uwanja wa ndege Chato unahudumia abiria 250 kwa mwezi

Meneja: Uwanja wa ndege Chato unahudumia abiria 250 kwa mwezi

KIA unahudumia Moshi na Arusha na uko katikati!Nenda kaangalie unahudumia watalii na watz wangapi Kwa mwezi ndio utashangaa!
Kwa logic yako, wewe huoni kuwa kuwa Chato pia itahudumia watu wa Geita na Bilahamuro kwa vile iko katikati? Na vile vile hujui kuwa huko pia kuna Mbuga za utalii za Burigi na Rubondo? Au kwa vile ulikuwa huzijui mbuga zile mpaka zilipoanza kutanganzwa na Magufuli ndiyo maana unadhani alijipendela wakati mbuga za Burigi zilianza tangu mwaka 1980, wakati zile za za kisiwani rubondo zipo tangu mwaka 1965 na watalii huwa wanakwenda huko pia.

Sehemu kubwa ya arguments zako ni zile za kitoto zinazotokana na kutokuwa na uelewa wa mambo bali blah blah za kumchukia Magufuli tu.
 
Wewe naye kilaza tu,Sasa hapo Mimi nimetoa wastani wa siku!Unashindwa Nini kuzidisha Kwa 7/3 upate wastani wa wiki?Ulitaka hata wastani Kwa saa utapata!
Hakuna kitu kama wastani kwa siku airport zote duniani. Ndege haziruki kwa wastani kilaza wangu.
 
Hakuna kitu kama wastani kwa siku airport zote duniani. Ndege haziruki kwa wastani kilaza wangu.
Dubai international airport;
Many of the sights on this route are simply inaccessible to cars. In 2019, the airport reached its full capacity of 52 flights per hour, or about 700–800 flights per day. The airport also takes the crown as the airport with the largest number of international travelers.

Ndege haziruki Kwa wastani ila unaweza kupiga hesabu ukajua mean flights per hour,day,weak na kuendelea!
Usiwe mvivu wa kufikiri,kilaza mkubwa!
 
Usipaniki mkuu. Uwanja wa chato umejengwa kijijini. Kama ni kweli marehemu alikuwa hana choyo.uwanja angeujenga makao makuu ya mkoa. Geita mjini. Hapa pana shughuli zote za uzalishaji na kuna idadi ya watu wanaoweza kuutumia uwanja wa ndege kimaslahi.
Raia wengi wanaohitaji kusafiri kwa kutumia ndege husafiri hadi Mwanza na siyo kwenda Chato.
KIA iko wapi Kama siyo kijijini?
 
KIA iko wapi Kama siyo kijijini?

KIA ni mji.
Few km kufika jiji la kitalii la Arusha.
Few km kufika mji wa kale wa Moshi.
Few km kufikia katika njia ya kupanda mlima Kilimanjaro.

Kia iko pale strategically kiuchumi inalipa sana tu. Ndo maana ujawahi kusikia manager analalamika uchache wa abiria.

Tatizo liko kwa Chato airport kwa sababu ni uwanja uliojengwa kwa mhemko tu wa mwanasiasa mmoja kwa kutumia kampuni yake binafsi ya mayenga construction.

Solution ya kufanya ili miradi yake ya hapo nyumbani isiwe hasara. Ni kupafanya pawe makao makuu ya mkoa mpya. Hili naliunga mkono 💯. Ili movement ziongezeke.
 
Kwa logic yako, wewe huoni kuwa kuwa Chato pia itahudumia watu wa Geita na Bilahamuro kwa vile iko katikati? Na vile vile hujui kuwa huko pia kuna Mbuga za utalii za Burigi na Rubondo? Au kwa vile ulikuwa huzijui mbuga zile mpaka zilipoanza kutanganzwa na Magufuli ndiyo maana unadhani alijipendela wakati mbuga za Burigi zilianza tangu mwaka 1980, wakati zile za za kisiwani rubondo zipo tangu mwaka 1965 na watalii huwa wanakwenda huko pia.

Sehemu kubwa ya arguments zako ni zile za kitoto zinazotokana na kutokuwa na uelewa wa mambo bali blah blah za kumchukia Magufuli tu.

Kichuguu huko Chato ujawahi kufika una type tu hapa.

Nenda huko ndo utajua uwanja ulijengwa kisiasa.

Huwezi tumia KIA ukafananisha na Chato.hii ni dharau kubwa.
Chato haipo katikati iko pembezoni mwa ziwa Victoria.
 
250/30 =8.33
Sasa wastani wa abiria nane Kwa siku ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na miundombinu hiyo ya uwanja na ndege!
Uwanja hauna tija hapo Chato!
Kwani unadhani kila siku ndege inaenda huko?
 
KIA ni mji.
Few km kufika jiji la kitalii la Arusha.
Few km kufika mji wa kale wa Moshi.
Few km kufikia katika njia ya kupanda mlima Kilimanjaro.

Kia iko pale strategically kiuchumi inalipa sana tu. Ndo maana ujawahi kusikia manager analalamika uchache wa abiria.

Tatizo liko kwa Chato airport kwa sababu ni uwanja uliojengwa kwa mhemko tu wa mwanasiasa mmoja kwa kutumia kampuni yake binafsi ya mayenga construction.

Solution ya kufanya ili miradi yake ya hapo nyumbani isiwe hasara. Ni kupafanya pawe makao makuu ya mkoa mpya. Hili naliunga mkono [emoji817]. Ili movement ziongezeke.
Ulisha wahi kufanya lolote kwa jirani yako ukaacha kwako? Geita ni ya waTanzania au wa Congo?

Jinga kubwa
 
Ulisha wahi kufanya lolote kwa jirani yako ukaacha kwako? Geita ni ya waTanzania au wa Congo?

Jinga kubwa

Sawa mimi mjinga wewe mwerevu.
Uwanja wa billion 40 unaohudumia watu 8 kwa siku ni akili hiyo? Yaani ufungue biashara ya mamilion alafu kwa siku wateja 8.
Kama JPM aliipenda sana Geita uwanja aneujenga Geita mjini coz pale kuna idadi ya kutosha, na shughuli nyingi zinazohitaji usafiri wa anga. Kujenga uwanja kijijin kwake ni ku fulfil ego yake tu.
Wasafiri wengi wa ndege kutoka geita huenda kupanda ndege Mwanza airport na siyo kijijin Chato.
Ndo maana nime suggest hilo eneo lifanywe mkoa ili miradi kama hiyo iwe busy.
 
Sawa mimi mjinga wewe mwerevu.
Uwanja wa billion 40 unaohudumia watu 8 kwa siku ni akili hiyo? Yaani ufungue biashara ya mamilion alafu kwa siku wateja 8.
Kama JPM aliipenda sana Geita uwanja aneujenga Geita mjini coz pale kuna idadi ya kutosha, na shughuli nyingi zinazohitaji usafiri wa anga. Kujenga uwanja kijijin kwake ni ku fulfil ego yake tu.
Wasafiri wengi wa ndege kutoka geita huenda kupanda ndege Mwanza airport na siyo kijijin Chato.
Ndo maana nime suggest hilo eneo lifanywe mkoa ili miradi kama hiyo iwe busy.
Unajisumbua bure kumuelezea faida za kiuchumi wakati mwenzio yeye yupo busy kusema kwani pale sio Tanzania anasahau hizi Kodi tunazolipa tunataka huduma sehemu zenye kipaumbele sio uweke tu white elephant project.

Yani anafikia kumfananisha hiyo airport na KIA yani ni vitu viwili tofauti sana. Achana nao
 
Unajisumbua bure kumuelezea faida za kiuchumi wakati mwenzio yeye yupo busy kusema kwani pale sio Tanzania anasahau hizi Kodi tunazolipa tunataka huduma sehemu zenye kipaumbele sio uweke tu white elephant project.

Yani anafikia kumfananisha hiyo airport na KIA yani ni vitu viwili tofauti sana. Achana nao
Imeshajengwa sasa, ukome
 
Yaani sijui nilie au nicheke! abiria 250 kwa mwezi ni sawa na abiria kama 62 kwa wiki ambayo ni sawa na abiria kama 8 kwa siku! Haya ni maslahi gani kwa taifa jamani? Ubadhrifu kama huu lakini bado watatokea watu kumtetea aliyeamrisha kujengwa kwa kiwanja hiki kwa sababu tu ni mtu kutokea CCM. Kadhalika wana CCM hawataona kosa la kijinga lililofanyika hapa kwa sababu tu limefanywa na kiogozi kutoka CCM. Tanzania ina wananchi wa ajabu sana.
 
Hayati wala hakufikiria kabisa kuhusu suala la "pay back period" ama "internal rate of return" wa huu mradi wake uliokwisha geuka kuwa tembo mweupe.
Mingi ya miradi ya serikali haiangalii hizo arithmetic za kwenye makaratasi kwa sababu yenyewe haifanyi biashara. Ni ama huwa huduma, kufit political interest au interest za walioko kwenýe usukani kwa wakati husika. Na Hata kama wataangalia hizo NPV, IRR, ARR etc siyo lazima iwe short term hadi kila mtu aweze ku- realise.
 
Huna akili kabisa

1. Serikali haifanyi biashara kwenye huo uwanja

2. Hakuna biashara ya kuanzisha leo na kuanza kupata faida leo
Mkuu Kuna miradi ambayo ni huduma na mingine ambayo inakuwa strategic Ili serikali iweze kupata return ya uwekezaji!
Masuala kama ya Hospitali,Shule,Umeme,maji ni huduma!
Ila miradi kama ya standard gauge au Ndege na viwanja,hii Huwa miradi strategic inayotakiwa izalishe faida!
Kujenga uwanja Chato Ilikuwa ni kumfurahisha JPM,Wala sio mradi wa kimkakati!
Kuna maeneo mengi tu ambayo Yana uhitaji wa uwanja wa ndege kama wa Chato na demand ni kubwa kuliko Chato lakini hawajajengewa!
Uwanja ushajengwa,tuangalie tulipojikwaa Ili jambo kama Hilo lisijirudie!
Samia naye akisema akajijengee uwanja kwao,Rais ajaye hivyo hivyo unadhani itakuwa nchi ya namna gani?
 
Mkuu Kuna miradi ambayo ni huduma na mingine ambayo inakuwa strategic Ili serikali iweze kupata return ya uwekezaji!
Masuala kama ya Hospitali,Shule,Umeme,maji ni huduma!
Ila miradi kama ya standard gauge au Ndege na viwanja,hii Huwa miradi strategic inayotakiwa izalishe faida!
Kujenga uwanja Chato Ilikuwa ni kumfurahisha JPM,Wala sio mradi wa kimkakati!
Kuna maeneo mengi tu ambayo Yana uhitaji wa uwanja wa ndege kama wa Chato na demand ni kubwa kuliko Chato lakini hawajajengewa!
Uwanja ushajengwa,tuangalie tulipojikwaa Ili jambo kama Hilo lisijirudie!
Samia naye akisema akajijengee uwanja kwao,Rais ajaye hivyo hivyo unadhani itakuwa nchi ya namna gani?
Wakati unatukana tayari kuna watanzania 250 watumia huo uwanja ,je mwaka 2035 kuna watanzania wangapi watakuwa wanatumia huo uwanja?
 
Wangetupa pia na faida (Je imeingiza faida au hasara kiasi gani kwa wakati huo) ?

Na kama ilikuwa huduma na sio biashara Je watu wa huko walikuwa na uhaba wa usafiri au kukosa alternative ?

Numbers pekee can lie unaweza ukawa na abiria wachache sana kumbe gharama sio rafiki au unajaza hadi kukataa wengine kumbe unachaji bei ambayo hata costs za uendeshaji hauzirejeshi
 
Unajisumbua bure kumuelezea faida za kiuchumi wakati mwenzio yeye yupo busy kusema kwani pale sio Tanzania anasahau hizi Kodi tunazolipa tunataka huduma sehemu zenye kipaumbele sio uweke tu white elephant project.

Yani anafikia kumfananisha hiyo airport na KIA yani ni vitu viwili tofauti sana. Achana nao
Hata wewe akili ni za kukopa tu
 
Yaani sijui nilie au nicheke! abiria 250 kwa mwezi ni sawa na abiria kama 62 kwa wiki ambayo ni sawa na abiria kama 8 kwa siku! Haya ni maslahi gani kwa taifa jamani? Ubadhrifu kama huu lakini bado watatokea watu kumtetea aliyeamrisha kujengwa kwa kiwanja hiki kwa sababu tu ni mtu kutokea CCM. Kadhalika wana CCM hawataona kosa la kijinga lililofanyika hapa kwa sababu tu limefanywa na kiogozi kutoka CCM. Tanzania ina wananchi wa ajabu sana.
Hivi siyo waTanzania nyie mnaosemaga serikali ipeleke maendeleo maana uhitaji unaongezeka kwa kuzaliana kila siku? Mnaweza kuanzisha huduma au biashara yotote na ikasimama kesho yake tu? Nasema hivi kila mTanzania ana haki, Acheni ubinafsi, na mala zote watu wenye kauli hizi ni wakaskazini, nawajua maana nipo hapa nafanya nao kazi ni miaka sasa, kauli za kubeza humu zinafanana Sana na wale nilio nao ofini
 
Mkuu Kuna miradi ambayo ni huduma na mingine ambayo inakuwa strategic Ili serikali iweze kupata return ya uwekezaji!
Masuala kama ya Hospitali,Shule,Umeme,maji ni huduma!
Ila miradi kama ya standard gauge au Ndege na viwanja,hii Huwa miradi strategic inayotakiwa izalishe faida!
Kujenga uwanja Chato Ilikuwa ni kumfurahisha JPM,Wala sio mradi wa kimkakati!
Kuna maeneo mengi tu ambayo Yana uhitaji wa uwanja wa ndege kama wa Chato na demand ni kubwa kuliko Chato lakini hawajajengewa!
Uwanja ushajengwa,tuangalie tulipojikwaa Ili jambo kama Hilo lisijirudie!
Samia naye akisema akajijengee uwanja kwao,Rais ajaye hivyo hivyo unadhani itakuwa nchi ya namna gani?
Huko kwao bado ni Tanzania na Kuna wananchi wanahitaji huduma wao, au watoto wao na wajukuu zao
 
Back
Top Bottom